Snipes
JF-Expert Member
- Jul 2, 2013
- 9,223
- 16,900
huku salama kabisa, Tumaso hajambo??Nzuri kabisa, vip pande hizo
huku salama kabisa, Tumaso hajambo??Nzuri kabisa, vip pande hizo
Tumosa unataka kuwa kungwi wa Demi?Labda hujampa hela ya kula na saluni
achaaaaa! siku zote najua anaitwa vile nilivyoandikaTumosa![]()
Tumaso![]()
Hajambo kabisa
Hawa wanafaa sana wakikaa pale magogoni maana wataendana tabia na mwenye nyumba.4/Buibui
Achilia mbali tabia yao ya kukaa muda mrefu sehemu moja bila kuhama....![]()
Rabbit Hutch Spider ni aina ya buibui wanaopatikana huko Amerika Kaskazini na baadhi ya nchi za Ulaya
Wana jeuri kukaa bila kula kwa muda wa miezi 18
.......
Shukrani, nimeona na kuipitia mwanzo hadi page ya sasa hivi.
Hapana binamu me cfurahii ww kukataliwa jamanNaona umefurahi sana mimi kukataliwa , yaani najua leo kwako ni kama kirisimasi.
....sema pole pole wasikusikie wanaonitaka wakafuata mkumbo wako.
BTW nilikutaka kimyakimya vipi kunikataa unakodi spika za adhana

Karibu buanaI am new kapuku here, nimeskia story zenu kwenye social medias huko nimevutiwa na mim nataka kuwa humu![]()
muulize mumeo mke mweeKifaa gan tena hcho mke mweee
KaribuI am new kapuku here, nimeskia story zenu kwenye social medias huko nimevutiwa na mim nataka kuwa humu![]()
![]()
![]()
nyakunyaku hatuwataki kbsa mke mweee
shemela shululu hajakosea kukuchagua mke mwee upo kama dada angu sakayo hakubali kuona naonewa anaweza hata kunyonga sijui T ndio kamfundisha kunyonga
shemela lini uliniambia nikupeleke kwa sakayoShemela shunie hataki nijue unapoishi
Mhhhhhhmhhhhhmuulize mumeo mke mwee
10/Ngamia![]()
Ana uwezo mkubwa wa kukaa bila kula wala kunywa maji ila ana jeuri ya kukaa muda mrefu bila kunywa maji kuliko kula
Anahifadhi baadhi ya maji anayokunywa kwenye nundu iliyoundwa kwa fatty tissues
Pindi anapokosa chakula na maji basi mafuta yaliyopo kwenye nundu huyeyuka na kugeuka maji na hivyo kuendelea kudunda tu
Ana uwezo wa kukaa bila kula kwa siku 40
.......

nakutakia mfungo mwema mmalize salama dear msalimie mshkaji wanguSijambo maa alhamdulillah ramadhani yayoyoma hivoo
Bhinamu hizo alili umeazima wapiii..Shukrani, nimeona na kuipitia mwanzo hadi page ya sasa hivi.
Nimejifunza kimoja tu, wakati mwanzisha uzi anataka kujua kuhusu hapa, wachangiaji wengi (ukiondoa member wa huku) hawajui wanachangia nini na wanaishia kulalamika kuwa sisi tunalalamika tu.
Mlalamikaji anayelalamikiwa.
Wanaamini 'likes' ni za bwerere tu huku na ukija mgeni unapewa mke (sic) mimi niko hapa hata mchumba tu sijapata na ni leo tu nimekataliwa kwa tangazo kama la msikitini.
Ninajisikia vizuri kuwa hapa.
SN (serious note na sio sexual and nudity) huku wapo waungwana , wasomi (msomi ni nani? Siku nyingine tena) ambako tunaamini hakuna hoja ya kijinga, tunajifunza mengi na si kujua mengi.
Hatuhitaji kujitetea kwa awaye yeyote, hatuna sababu ya kufanya hivyo. JF ni kubwa sana na Makapuku forum ni sehemu ya JF.
ulivyojibu sasaAnamjua sana