Makapuku Forum

Makapuku Forum

4/Buibui
64c5275992b52f6aa7b10fa96d54cf32.jpg
be0a9823667764c155c9e7752eb5296b.jpg
Achilia mbali tabia yao ya kukaa muda mrefu sehemu moja bila kuhama....
Rabbit Hutch Spider ni aina ya buibui wanaopatikana huko Amerika Kaskazini na baadhi ya nchi za Ulaya
Wana jeuri kukaa bila kula kwa muda wa miezi 18
.......
 
4/Buibui
64c5275992b52f6aa7b10fa96d54cf32.jpg
be0a9823667764c155c9e7752eb5296b.jpg
Achilia mbali tabia yao ya kukaa muda mrefu sehemu moja bila kuhama....
Rabbit Hutch Spider ni aina ya buibui wanaopatikana huko Amerika Kaskazini na baadhi ya nchi za Ulaya
Wana jeuri kukaa bila kula kwa muda wa miezi 18
.......
Hawa wanafaa sana wakikaa pale magogoni maana wataendana tabia na mwenye nyumba.
 
Shukrani, nimeona na kuipitia mwanzo hadi page ya sasa hivi.
Nimejifunza kimoja tu, wakati mwanzisha uzi anataka kujua kuhusu hapa, wachangiaji wengi (ukiondoa member wa huku) hawajui wanachangia nini na wanaishia kulalamika kuwa sisi tunalalamika tu.
Mlalamikaji anayelalamikiwa.

Wanaamini 'likes' ni za bwerere tu huku na ukija mgeni unapewa mke (sic) mimi niko hapa hata mchumba tu sijapata na ni leo tu nimekataliwa kwa tangazo kama la msikitini.

Ninajisikia vizuri kuwa hapa.

SN (serious note na sio sexual and nudity) huku wapo waungwana , wasomi (msomi ni nani? Siku nyingine tena) ambako tunaamini hakuna hoja ya kijinga, tunajifunza mengi na si kujua mengi.

Hatuhitaji kujitetea kwa awaye yeyote, hatuna sababu ya kufanya hivyo. JF ni kubwa sana na Makapuku forum ni sehemu ya JF.
 
10/Ngamia
99b592cdf518b4348f4e32e3d0706595.jpg

Ana uwezo mkubwa wa kukaa bila kula wala kunywa maji ila ana jeuri ya kukaa muda mrefu bila kunywa maji kuliko kula
Anahifadhi baadhi ya maji anayokunywa kwenye nundu iliyoundwa kwa fatty tissues
Pindi anapokosa chakula na maji basi mafuta yaliyopo kwenye nundu huyeyuka na kugeuka maji na hivyo kuendelea kudunda tu
Ana uwezo wa kukaa bila kula kwa siku 40
.......
 
Shukrani, nimeona na kuipitia mwanzo hadi page ya sasa hivi.
Nimejifunza kimoja tu, wakati mwanzisha uzi anataka kujua kuhusu hapa, wachangiaji wengi (ukiondoa member wa huku) hawajui wanachangia nini na wanaishia kulalamika kuwa sisi tunalalamika tu.
Mlalamikaji anayelalamikiwa.

Wanaamini 'likes' ni za bwerere tu huku na ukija mgeni unapewa mke (sic) mimi niko hapa hata mchumba tu sijapata na ni leo tu nimekataliwa kwa tangazo kama la msikitini.

Ninajisikia vizuri kuwa hapa.

SN (serious note na sio sexual and nudity) huku wapo waungwana , wasomi (msomi ni nani? Siku nyingine tena) ambako tunaamini hakuna hoja ya kijinga, tunajifunza mengi na si kujua mengi.

Hatuhitaji kujitetea kwa awaye yeyote, hatuna sababu ya kufanya hivyo. JF ni kubwa sana na Makapuku forum ni sehemu ya JF.
Bhinamu hizo alili umeazima wapiii..

Umenena vyemaa ...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom