Makapuku Forum

Makapuku Forum

10/Ngamia
99b592cdf518b4348f4e32e3d0706595.jpg

Ana uwezo mkubwa wa kukaa bila kula wala kunywa maji ila ana jeuri ya kukaa muda mrefu bila kunywa maji kuliko kula
Anahifadhi baadhi ya maji anayokunywa kwenye nundu iliyoundwa kwa fatty tissues
Pindi anapokosa chakula na maji basi mafuta yaliyopo kwenye nundu huyeyuka na kugeuka maji na hivyo kuendelea kudunda tu
Ana uwezo wa kukaa bila kula kwa siku 40
.......
 
Ingekuwa hivi hadi kwa binadamu ingekuwa muruwa kabisa
10/Ngamia
99b592cdf518b4348f4e32e3d0706595.jpg

Ana uwezo mkubwa wa kukaa bila kula wala kunywa maji ila ana jeuri ya kukaa muda mrefu bila kunywa maji kuliko kula
Anahifadhi baadhi ya maji anayokunywa kwenye nundu iliyoundwa kwa fatty tissues
Pindi anapokosa chakula na maji basi mafuta yaliyopo kwenye nundu huyeyuka na kugeuka maji na hivyo kuendelea kudunda tu
Ana uwezo wa kukaa bila kula kwa siku 40
.......
 
9/Homo Sapiens
2904de6ebc71d4703a7c4d8b36ce7741.jpg

Kizazi cha karne hii cha chipsi mayai cha matozi na masistaduu sijui kama kinaweza kukaa na njaa japo siku 3 tu
80a05031902f01e94b93473b2be9fddb.jpg

Bhagat Singh mwaka 1929 aliweka mgomo wa kutokula hunger strike ambao pia ulichochea kupatikana kwa ihuru wa India 1947
Ilikuwa ni baada ya kuswekwa gerezani kwa kosa la Mauaji na wakoloni wa Kiingereza
Alikaa siku 116 bila kula hadi pale serikali iliposarenda na kufikia naye mwafaka
Alipoteza uzito wa Kg 60
.......
 
TOP TEN
Waislamu wapo kwenye mfungo wa mwezi mtukufu ....yaani wao mchana hushinda njaa ila usiku wanakula balaa

Kuna usemi kwamba binadamu hawezi kuvumilia mambo matatu, yaani njaa,Ny*g* na usingizi
.
.
Sasa tuwaangalia wanyama kumi wenye jeuri ya kukaa muda mrefu bila kula na pengine hata bila kunywa maji
Karibuni
......
Leta maneno
 
10/Ngamia
99b592cdf518b4348f4e32e3d0706595.jpg

Ana uwezo mkubwa wa kukaa bila kula wala kunywa maji ila ana jeuri ya kukaa muda mrefu bila kunywa maji kuliko kula
Anahifadhi baadhi ya maji anayokunywa kwenye nundu iliyoundwa kwa fatty tissues
Pindi anapokosa chakula na maji basi mafuta yaliyopo kwenye nundu huyeyuka na kugeuka maji na hivyo kuendelea kudunda tu
Ana uwezo wa kukaa bila kula kwa siku 40
.......
Kwelii mkuu huyu jamaa hafai
 
9/Homo Sapiens
2904de6ebc71d4703a7c4d8b36ce7741.jpg

Kizazi cha karne hii cha chipsi mayai cha matozi na masistaduu sijui kama kinaweza kukaa na njaa japo siku 3 tu
80a05031902f01e94b93473b2be9fddb.jpg

Bhagat Singh mwaka 1929 aliweka mgomo wa kutokula hunger strike ambao pia ulichochea kupatikana kwa ihuru wa India 1947
Ilikuwa ni baada ya kuswekwa gerezani kwa kosa la Mauaji na wakoloni wa kiingereza
Alikaa siku 116 bila kula hadi pale serikali iliposarenda na kufikia naye mwafaka
Alipoteza uzito wa Kg 60
.......
Duuuuuuh ..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom