the viking
JF-Expert Member
- Apr 23, 2017
- 1,170
- 1,373
naskia tetesi kuwa uzi huu utafungwa hivi karibuni!!..hebu mnijuze kipi kimefanya mods kufikia uamuzi huo..naweza nikapinga uzi usifungwe kwa manufaa ya members wa humu!!
umesikia wapi??naskia tetesi kuwa uzi huu utafungwa hivi karibuni!!..hebu mnijuze kipi kimefanya mods kufikia uamuzi huo..naweza nikapinga uzi usifungwe kwa manufaa ya members wa humu!!
Rambirambi napokea mm
Mmmmmh7/Emperor Pengine![]()
Kwa madume wana uwezo mkubwa wa kuhifadhi nishati kupitia mafuta yaliyopo mwilini kuliko majike ...hii ni Metabolism na hupoteza karibia nusu ya uzito wake
Wana jeuri ya kukaa bila kula kwa siku 120
........
HapanaUnapotea sana
Wewe![]()
hivi ubishi kakufundisha nani
Wake wenza tulikuwa tunaandaa kikosi cha kuvamia bahati umeshtuka mapema
sasa mngefanyaje kama Mzee kaamua!
Uko poaa mkee ?Wake wenza tulikuwa tunaandaa kikosi cha kuvamia bahati umeshtuka mapema
Kumbe tunafatiliwaa hiviiiumesikia wapi??
kaulize uliposikia
very humble

poa snipes za wewehabari za usiku familia
6/Snakes![]()
![]()
Kuna aina nyingi za nyoka lakini nyoka ni nyoka na mtoto wa nyoka pia huitwa nyoka
Kama ilivyo kwa reptilia wengine nyoka nao hawawezi kurekebisha jotoridi la mwili... .kukiwa na baridi jotoridi la mwili hushuka na kukiwa na joto jotoridi hupanda na
Pindi baridi inapozidi wanakuwa kwenye hali ya dormancy
Wana jeuri ya kukaa bila kula kwa siku karibia nwaka mmoja
.......

upuuzi wako huo ndo tatizoKumbe tunafatiliwaa hiviii![]()
![]()
![]()
![]()
Nzuriii mkuuhabari za usiku familia
niko poa, habari yakopoa snipes za wewe
si mchezo6/Snakes![]()
![]()
Kuna aina nyingi za nyoka lakini nyoka ni nyoka na mtoto wa nyoka pia huitwa nyoka
Kama ilivyo kwa reptilia wengine nyoka nao hawawezi kurekebisha jotoridi la mwili... .kukiwa na baridi jotoridi la mwili hushuka na kukiwa na joto jotoridi hupanda na
Pindi baridi inapozidi wanakuwa kwenye hali ya dormancy
Wana jeuri ya kukaa bila kula kwa siku karibia nwaka mmoja
.......