Makapuku Forum

Makapuku Forum

Mambo mengine ni ya kupotezea tu
Mi uzi nimeuona mapema sana ila nimeupotezea
Maana hata wajaribu kututukana,kuponda n.k haiwezi kiifanya thread iwe mbaya au kupunguza "mashabiki"

Huu ndo uzi unaofuatiliwa zaidi na watu wengi wamesubscribe sababu kuna mambo yamewavutia
Maneno hata kwenye khanga yapo wala hayasumbui
Ignore them
........
 
Aliyetuangushaa thimbwa huyuuu hapaa

f343c701ec25fd3009cb06c6ab45fa2a.jpg
6d53a9651622d367747586d1fbbdb8d1.jpg
 
TOP TEN
Waislamu wapo kwenye mfungo wa mwezi mtukufu ....yaani wao mchana hushinda njaa ila usiku wanakula balaa

Kuna usemi kwamba binadamu hawezi kuvumilia mambo matatu, yaani njaa,Ny*g* na usingizi
.
.
Sasa tuwaangalia wanyama kumi wenye jeuri ya kukaa muda mrefu bila kula na pengine hata bila kunywa maji
Karibuni
......
 
TOP TEN
Waislamu wapo kwenye mfungo wa mwezi mtukufu ....yaani wao mchana hushinda njaa ila usiku wanakula balaa

Kuna usemi kwamba binadamu hawezi kuvumilia mambo matatu, yaani njaa,Ny*g* na usingizi
.
.
Sasa tuwaangalia wanyama kumi wenye jeuri ya kukaa muda mrefu bila kula na pengine hata bila kunywa maji
Karibuni
......
Karibuu mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom