Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Si umesema mpo wengiiiiweeeh ebu acha hizi mambo usinivuruge
Si umesema mpo wengiiiiweeeh ebu acha hizi mambo usinivuruge
hahahhh chizi ww nilivyoingia ulinidaka ujue naanza kuitwa babyHivi nikumbushee nilikupatajeeee...
kuna siku ilipostiwa picha ya mwanamke kibonge nikasema huyo kama mm kibonge cheusi ukasema utanibeba nikakuuliza utaniweza na ubonge nilionao ukasema ndioooo
mukongo kazi yake kupiga debe tu
nani aliyesema binamu yangusijasema mimi bhana
kama tupo wengi ndio uongeze mke huyo dini yake itakua inamruhusuSi umesema mpo wengiiii
Mbona mm hutak niongezee
Kweli?Nasikia umeamua kulima bustani kabisa ili usiwe unanunua maflower, anyway nitafuga mbuzi tuone kama hiyo bustani yako itasalimika
Mapenzi bwanaa...hahahhh chizi ww nilivyoingia ulinidaka ujue naanza kuitwa babykuna siku ilipostiwa picha ya mwanamke kibonge nikasema huyo kama mm kibonge cheusi ukasema utanibeba nikakuuliza utaniweza na ubonge nilionao ukasema ndioooo
![]()
![]()
mukongo kazi yake kupiga debe tu
sawa utakuwa mtu wangu wa kunisaidia kunitafutia huko kitaa wanawake wakuoa au sio?mimi nimeshaolewa ni mke wa mtu anaitwa lee empire halaf mitala mimi siiwezi yaan nijue tu unachepuka ila nisijue unaochepuka nao sawa mkuu kila la kheri na wake zako wa 4
Ewaaaaaahkama tupo wengi ndio uongeze mke huyo dini yake itakua inamruhusu
hahahhh chizi ww nilivyoingia ulinidaka ujue naanza kuitwa babykuna siku ilipostiwa picha ya mwanamke kibonge nikasema huyo kama mm kibonge cheusi ukasema utanibeba nikakuuliza utaniweza na ubonge nilionao ukasema ndioooo
![]()
![]()
mukongo kazi yake kupiga debe tu
..uongeze wafike wangapi sasa mjomba wangu mfalme mswati? Kwenye hiace hawatoshi maana zimepigwa marufuku mjini, labda costa na mbagala siku hizi kuna uda, au unataka uongeze wajae kwenye mwendokasi wakati hayafiki kigamboni?

nani aliyesema binamu yangu
Hahahhaha ObeAnko, mimi huyu shangazi namwangalia tu na unakumbuka ile juzi nikakuambia kuwa nahisi ndo ananiharibia. ukapendekeza twende tukapige ramli na ukawa tayari kununua jogoo la kupigia ramli? Bahati nzuri cheusi bonge alikuwepo hela ya kumlipa mganga tukanywea bia ,

Mapenzi bwanaa...
Yanazaliwaa hayatengenezwiiii...
Huoni ya obe na mama mchuchu mwaka wote utafikir anachukua phd kwake
nacheka sana yani wewe
Na mmi ntasema yako apa yote walaaaiiii.....uongeze wafike wangapi sasa mjomba wangu mfalme mswati? Kwenye hiace hawatoshi maana zimepigwa marufuku mjini, labda costa na mbagala siku hizi kuna uda, au unataka uongeze wajae kwenye mwendokasi wakati hayafiki kigamboni?
Karibu sana mkuuAsante mama mchungaji kwa kuyapitia
Kweli?