Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Kwenda zakooohahahhh hamna huwa namsalimia tu
Kwenda zakooohahahhh hamna huwa namsalimia tu
moyo wangu sio wa nchi hiii daah ila kweli ujueSakayo alikwambiajee kuhusu moyo wako![]()
![]()
![]()
![]()
kuna mda mwenyewe najishangaa sana hivi ni mimi kweli
oa mkuu wanawake tupo wengi sana ndio vizurijamani mm ninataka kuoa wake wanne kwa wakati mmoja .munaonaje huu ujanja maana ukioa mmoja halafu zikapita miaka ukitaka kuongeza atasema unamuonea.lkn nimewazaaa nikaona ili kuondoa haya maneno naoa wooote wanne kwa siku moja hapo imekaaje .nipeni ushauri zaidi.mmoja asubuhi.mmoja mchana.mmoja jioni saa kuminna mbili na mwengine wa nne usiku saa mbili
...unatema pumba (najua utanikasirikia mimi ilhali unamjua kabisa aliyesema)

mmh...au ana majini ndo maana nimemshindwa? Najiuliza tu wala sina nia ya kusikia toka kwa yeyote
Mbona unasaha sana kama kuku bhinamu ....nilikuoneshaa juzi unatachiiii unasogezaaa mpaka chini unavionaa vingiii mpaka viapple
Tulikujuaa mapema kuwa unatuchoraa tumama mchuchu usirudiiii kabisa na flowers mpe mukongo tu wengine asante au ngumi zinawatosha mama angu
yule mushenga wangu nakumbuka mwanzo nilivyokua mgeni humu alivyokua anakupigia debe niwe na wewe mukongo siwezi muangushaKwenda zakooo
hivi ni kweli
...au ana majini ndo maana nimemshindwa? Najiuliza tu wala sina nia ya kusikia toka kwa yeyote

Nataka nione vyenye msosi msosi, mkongo akitupia maua au ngumi mimi natupia paja la kuku na soda au chipusi
binamuuuu
na binamu pia napenda awe na mama mchuchuTulikujuaa mapema kuwa unatuchoraa tu
Unampenda mukongo awe wa mama maflower ...
Mbona mm hutak niongezeeoa mkuu wanawake tupo wengi sana ndio vizuri
Hivi nikumbushee nilikupatajeeee...yule mushenga wangu nakumbuka mwanzo nilivyokua mgeni humu alivyokua anakupigia debe niwe na wewe mukongo siwezi muangusha
Hivi mbona hauelewekii kama mvua za darna binamu pia napenda awe na mama mchuchu
weeeh ebu acha hizi mambo usinivurugeMbona mm hutak niongezee