Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Wee muacheee atatukumbukaaa![]()
![]()
mama mchuchu aka ma flowers lazima atutenge mukongo si hayupo
Baba mchuchu yupi make upo kotekoteemama mchuchu shikamoo mama msalimie sana baba mchuchu
Bhinamu uko poa ??
Nisamehe saa yako nilikorofisha mm kipind kile ulivokuwa na cheusi mangala ukaogopa kwenda nayo unaweza kuibiwa ...nilirudisha nyuma mda ili tukae sana maeneo yetu
Anyway nasikia umemtorosha mama maflower wako
Anamuoneaahahahhh
Kichwa majiii hili totohapana bana
ujue ipo siku atajua umuhimu wa binamu halaf kipindi hiko binamu kashapata totoz imemkamataWee muacheee atatukumbukaaa
hahahhhhh binamu yetuBaba mchuchu yupi make upo kotekotee
Nimekoseaaa baby mweeee
binamu kwa habari hizo za cheusi acha mama mchuchu atoroshwe tu na ailidishweMaaaamamaaaaaaaaaaaa, dadeki nilijua tu lazima kuna mkono wa mtu wangu wa karibu. haiwezekani saa otomatiki isimame bila sababu ya msingi, saa inategmea solar na mapigo ya moyo isimame vipi na hali bado ninaishi.
Sasa roho yangu itatulia, na inabidi nikuletee uirekebishe isome majira ya leo. halafu Cheusi anakutafuta sana maana juzi aliibua ugomvi na kidawa mkorogo kisa eti sijui wewe (sikuwa na sababu ya kutowaamini)
Mama maflower katoroshwa mimi roho inaniuma tu. Na hata kujua kuwa katoroshwa nimejua leo wakati wengine mnataarifa tangu juzi
kweli anamuonea binamu ampe hata siku moja moja halaf zamani ulikua upo kote kote sasa hivi umeamua kusimama na binamu tuAnamuoneaa
ukichwa maji wake upiii umeanzaKichwa majiii hili toto
Baaabaaaaaaaaaaaaaa ...bhinamu nisamehe najua saa yako ndo mfarijii wakoMaaaamamaaaaaaaaaaaa, dadeki nilijua tu lazima kuna mkono wa mtu wangu wa karibu. haiwezekani saa otomatiki isimame bila sababu ya msingi, saa inategmea solar na mapigo ya moyo isimame vipi na hali bado ninaishi.
Sasa roho yangu itatulia, na inabidi nikuletee uirekebishe isome majira ya leo. halafu Cheusi anakutafuta sana maana juzi aliibua ugomvi na kidawa mkorogo kisa eti sijui wewe (sikuwa na sababu ya kutowaamini)
Mama maflower katoroshwa mimi roho inaniuma tu. Na hata kujua kuwa katoroshwa nimejua leo wakati wengine mnataarifa tangu juzi
ila sikuwa na namna make na wew hii saa inakutia wazimu ..ntairekebishaa make kuna nyaya nilichomoaa usiseme kuchomekaa laaa ashaaa ...mambo yatajipa ila kama kuna uwezekano nikuchukulie ya kuninginiza shingoniiii...Za asubuhi Obe,umeamshwaje?ubarikiwe
Asante mama mchungaji kwa kuyapitiaUbarikiwe sana mkuu Shululu asante kwa magazeti siku njema
Wee muachee ..ujue ipo siku atajua umuhimu wa binamu halaf kipindi hiko binamu kashapata totoz imemkamata
Pamoja sana mkuu kimarioAsante mwana magazeti shululu
Asante kwa vichwa vya habari
Baba mchuchu yupi make upo kotekotee