Mi napata mbonaNina siku mbili sasa sipati notifications zo zote. Natumia JF App. Kuna mwingine mwenye tatizo hili hapa au ni mimi pekee?
Apo ndo utatofautisha mtoto wa Blessed hope na wa shunie![]()
![]()
![]()
Wa kwanza huyu ....mm kanishindaa![]()
Na huyu ....![]()

Hata mimi sizipatiNina siku mbili sasa sipati notifications zo zote. Natumia JF App. Kuna mwingine mwenye tatizo hili hapa au ni mimi pekee?
CIA walimuua ili wamzuie asiingie Ikulu kisha akaweka kila kitu wazi.![]()
![]()
Kifo chake kina mkono wa CIA kama ilivyotangulia kwa kakaye
....
Japo alinusurika kuuwawa kwa risasi mwaka 1981Aliiita Marekani "The Shining City on the hill" na chini ya utawala wake Marekani iliimarika sana. Mpaka leo wahafidhina wa Republican wanaamini kuwa pengine ndiye rais bora kabisa aliyewahi kutawala Marekani.
Leo nimesikia Nchi za kiarabu hasa zile za Umoja wa Emirates wanamtenga Qatar.Waarabu hawana Umoja miongoni mwao
Yaani hawapendani angalia tu huko Afrika Kaskazini ushirikiano ulivyo baina yao!!
Hata kwenye soka tu ni vita Kali
.....
Waarabu kichwani weupe tuLeo nimesikia Nchi za kiarabu hasa zile za Umoja wa Emirates wanamtenga Qatar.
Kuna mkono wa Trump hapo. Mashirika ya makubwa ya ndege za Emirate na Gulf Air wanasitisha safari zao kwenda Doha, Qatar.
Jamaa aliyemtandika risasi alikuwa na matatizo ya akili na aliamini kuwa akimuua rais pengine atakuwa maarufu na hivyo ataweza kumpata mwigizaji Jodie Foster.Japo alinusurika kuuwawa kwa risasi mwaka 1981
Wana utajiri lakini akili chache!Waarabu kichwani weupe tu
Wanagombanishwa na USA nao hawashtuki km wapo kimaslahi zaidi
.....
Kama Bitoz anavyosemaga, Wamarekani sio wa kuwaamini sana.Jamaa aliyemtandika risasi alikuwa na matatizo ya akili na aliamini kuwa akimuua rais pengine atakuwa maarufu na hivyo ataweza kumpata mwigizaji Jodie Foster.Ndiyo maana hakufungwa kwa sababu mahakama ilijiridhisha kuwa jamaa alikuwa mgonjwa. Mwaka juzi aliachiwa kutoka katika mental facility alikokuwa akipatiwa matibabu.
Alianza kwanza kumfuatilia rais Jimmy Carter lakini alimaliza muda wake kabla hajatimiza azma yake. Na hapo sasa ikawa zamu ya Reagan...![]()
![]()
Km WaafrikaWana utajiri lakini akili chache!