Makapuku Forum

Makapuku Forum

1/Mantis Shrimp
43bf3472258897f2588aba45944a5362.jpg
45f8f1d86f7ee3345d136cec9e0bc78b.jpg

Kwa kiswahili anaitwa uduvi
Ni uduvi wa kundi la Stomatopodia
Wana kuacha kali zenye uwezo wa kuvunja glasi au kukigawanja kidole cha binadamu sehemu mbili
Macho yao ni ya kuvutia
.
.
.
.
.
Shukrani kwa mliosapoti mada
Rukutane kesho
Mwisho
.......
Hawa ndio uduvi asantee Bitoz
 
Saa yangu imepoteza majira, na nimejikuta najiuliza hivi ni lazima magazeti yasomwe asubuhi tu (sijauliza swali) vyote iwavyo, asante shululu kwa magazeti, lee empire kwa UF na upuuzi, Mussolin5 na Bitoz kwa historia.

Nisiwasahau member wote waliochangia tangu kumekucha bila kuwasahau wapenzi wasomaji wa Makapuku forum.

Ngoja nifuatilie kujua sasa ni saa ngapi ili nirudi na burudani.
binamu saa imesimama
 
Muziki Huchangamsha

Ni Jumatatu kama jtatu nyingine sema tu tarehe ndo zimebadilika. Hivi ndivyo tunavyoelekea kuikata nusu ya huu mwaka. Naamini wote tuko poa kabisa bila kujali huu upoa u-hali (state) gani.

Wakati napitia post za nyuma humu, nikavutiwa na post moja ambayo mchangiaji anauliza leo kumepoa humu, well, leo ni jumatatu na jumatau ikianza kwa kuchangamka jua weekend yako hukuitumia ipasavyo, its blue Monday and not blue Mondray for GS.

Kutokana na hali hii ya leo basi nikaona sio mbaya sana katika kipengele cha muziki leo basi tuburudike na Sebene kidogo, na bila hiyana nakuletea sebene la Twanga Pepeta chini ya 'le jenerali' Banza Stone (RIP) na gitaa la mtaaluma Shakashia. Andrew Shakasjhia ni mkali sana kwenye gitaa la solo na hata gwiji said Mabera wa Msondo alithibitisha hilo (hii siku nyingine tena)

Tonane baadaye kidogo wadau wema wa Makapuku


Karibu


Mkuu asante kwa kibao maridadi kabisaa.

Mtu Pesa ni moja kati ya vibao maarufu na bora vilivyowahi kuimbwa katika muziki wa dansi.

Kibao cha Mtu Pesa ni moja kati ya vibao murua kabisa kuwahi kutungwa na Marehemu Banza Stone katika Maisha yake mafupi aliyoishi Duniani.

R.I.P Banza
 
Muziki Huchangamsha

Ni Jumatatu kama jtatu nyingine sema tu tarehe ndo zimebadilika. Hivi ndivyo tunavyoelekea kuikata nusu ya huu mwaka. Naamini wote tuko poa kabisa bila kujali huu upoa u-hali (state) gani.

Wakati napitia post za nyuma humu, nikavutiwa na post moja ambayo mchangiaji anauliza leo kumepoa humu, well, leo ni jumatatu na jumatau ikianza kwa kuchangamka jua weekend yako hukuitumia ipasavyo, its blue Monday and not blue Mondray for GS.

Kutokana na hali hii ya leo basi nikaona sio mbaya sana katika kipengele cha muziki leo basi tuburudike na Sebene kidogo, na bila hiyana nakuletea sebene la Twanga Pepeta chini ya 'le jenerali' Banza Stone (RIP) na gitaa la mtaaluma Shakashia. Andrew Shakasjhia ni mkali sana kwenye gitaa la solo na hata gwiji said Mabera wa Msondo alithibitisha hilo (hii siku nyingine tena)

Tonane baadaye kidogo wadau wema wa Makapuku


Karibu


Aisee siku mingi sana, Asante obe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom