Clkey
JF-Expert Member
- May 29, 2014
- 5,720
- 15,352
Pole sanaaa waremboo wote umekosa hta mmojaKaribu sana mimi pekee humu ndani nimebaki mpweke.
Pole sanaaa waremboo wote umekosa hta mmojaKaribu sana mimi pekee humu ndani nimebaki mpweke.
Kujiunga kivipi?Unajiunga vipi bitoz makapu
Ongeza nyingine Mkuu.
Umekuwa mnyonge ghafla eeeh?Asante Mkuu kwa kwa busara zako zilizotukuka.Nadhani Mimi nimeshamalizana nae Mkuu na namwomba aendelee kunipiga Madongo atakavyo ila sitojisumbua nae kwani nina uhakika kwa dozi niliyompa itamuumiza kwa muda mrefu sana iwe yupo online au offline humu. Napenda nipigwe Madongo ya maana na siyo hayo yake ya Kitoto na Kipuuzi.
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Umekuwa mnyonge ghafla eeeh?
Waka na mimi niwake
They call me king Lucifer
Wapo wengi lakini wakufanana nawe hakuna.Pole sanaaa waremboo wote umekosa hta mmoja
Umerudi ,tenaMadongo yameisha ili uombe msaada kwa Wafuasi wa Mfalme Lucifer?
Hahahahah lol haya bwanaWapo wengi lakini wakufanana nawe hakuna.
Nafuta post zangu zote ili nisiwaharibie forum yenu nilikuwa namnyoosha dogo ,dogo kashanyooka roho yangu sasa imekuwa kwatu
Mambo totoo?Jamani mko poa makapu wenzangu, nimewamiss kweli
Poa mambo yako chaliii ya NgareroooooMambo totoo?
Watu wamekuja kwa lengo maalumu la kuharibu thread pengine ili ipigwe kufuliNaona leo huku Makapuku hewa imechafuka. Tumezoea utangamano, utani na kusemeshana kwa staha. Uwanja wa kutolea stress...
Kwa sasa nadhani ni ku-ignore tu hii vita na obviously vita vya aina hii huwa havina mshindi. Sad! Very sad!
Umerudi ,tena
Nilikuwa nishaanza kufuta post zangu
Sasa ngoja nianze upya
Report post zote zitafutwa na watu kupewa adhabu yaoMkuu unaonaje ukaachana nae sisi haya mambo hatuyatakii huku hatujayazoeaa
Mkuu onesha busara zako ...
Wakuu
shimba ya buyenze
Bitoz
Transcend
Obe bhinamu
Na kapuku wote njooni tusaidianee kuwaelewesha hawa
That's the truth.Hahahahah lol haya bwana