Mkuu lakini ungeliachana nae make haya mambo huku kwetu hatujayazoeaa ...njia muhimu na nzuri ni kutobishana na jamaa kama huyu ...ni ombi tu
Ngoja aje huku kujibu...Hakuna kitu kama hicho maana nimemkuta sehemu anaimbishwa na anaonekana kuuelewa wimbo.
Kipapai on progressNaona anajifanya yeye ndo yeye ...nisamehe ngoja nimsome mpaka mwisho anachokitaka atakipata
Nilimuona akipita tu sijui kaelekea wapiWewe jamaa..
Mkubhi mboga mboga yuko wapi?
Hapana mkuu sikutegemeaHii kitu ulikitegemeaa ??
![]()
![]()
Mbona unataka kufanya mapinduzi?atamuoa nani zaidi ya Dada
Mambo vipi ipogoloDaah
Hao sio kapuku mkuuKumbe makapuku kuna time tunavimbishiana vidari? Rank yetu moja. Tusichafue atmosphere.
Atakuja kukujibu mwenyeweKabila gani hicho mkuu ( mkubhi)
Nimekupata mkuuGENTAMYCINE ni mpole na Mtu mmoja mwema sana ILA nina taswira yangu nyingine hasa nikigundua kuwa kuna Mtu ananitafuta kwa makusudi na moja ya Sera yangu ya Kifalsafa kabisa ni kwamba huwa simbakishi Mpumbavu yoyote anayejipendekeza Kwangu tena akiwa na lengo baya. Kama kawaida Ukijamba Mimi Naharisha kabisa.
Kuna Watu wengi sana humu nataniana nao na tena hadi wananipiga Madongo ya maana na nabaki tu nami kuyafurahia na naunyuti Kimtindo na wala siwajibu hovyo hasa ukizingatia kuwa hata Mimi napenda sana Utani na Kutaniwa ila jiulize tu swali kwanini huyo Kinyankera nimempa dozi yake hiyo? Kuna Watu wanataka kuchukulia points au kupata umaarufu kwakuwa tu wanajibizana na GENTAMYCINE humu JF na Mimi nikiwabaini au kuwajua tu huwa siwaachi hivi hivi.
Nimemaliza Mkuu.
Mkuu lakini ungeliachana nae make haya mambo huku kwetu hatujayazoeaa ...njia muhimu na nzuri ni kutobishana na jamaa kama huyu ...ni ombi tu
Kumbe makapuku kuna time tunavimbishiana vidari? Rank yetu moja. Tusichafue atmosphere.
Ata mimi sikutegemeaa ngoja tusubirie jpiliHapana mkuu sikutegemea
Plz ingekuwa poa mkamfata kwenye uzi wakeeAcha apewe dozi yake huyo maana anajifanya kawehuka sana
Tumekumis piaaJamani mko poa makapu wenzangu, nimewamiss kweli
Tumekumiss piaJamani mko poa makapu wenzangu, nimewamiss kweli
Sawa mkuuAta mimi sikutegemeaa ngoja tusubirie jpili