Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,585
Wala usiofuuu

Wala usiofuuu

Hii sirikali uongo ni kawaida yakoChanga la macho, siamini kama pato la madini kuongezeka kwa siku mbili tatu tangu lianze suala la ACACIA
Umewaona ee...?!husuda umewajaaa
Mbona mbio nyingi... Au ndo unatangulia?

Wewe jamaa
haiwezi kuibiwa labda wanikate mkono, ni wota purufu, na inaweza kuogelea

Mimi namshukuru Mungu nipo salama,za uzima Lee AsanteGoodmorning wanafamilia wote ....siku njema uonekana mapema upande wangu imekaa powaaa na i hope wote iko poa ....
Soon tuone UF

SUREWishing all the best ....
But ....![]()

Njema umeamshwaje mkuuHabari za asubuhi kapukuzi?
Asante sanaTUPATE DONDOO ZA MAGAZETI YA LEO
Yetu macho na masikioMambo vipi Mkuu! Nasikia unataka kufanya mapinduzi, binafsi kwa sasa nimeweka siraha chini lakini hii haimaanishi kuwa nimejisalisha! La hasha, najiandaa kufanya mapinduzi makubwa.
Hili gazeti la dini na mambo ya Ivan wapi na wapi?!
Mwenyewe sikuwahi kuwa na imani na Kawemba! Kitendo cha kumtimua mwingereza na kuleta Waspain ndo kinaifanya Azam ikose uwakilishi wowote kimataifa msimu ujao!