Makapuku Forum

Makapuku Forum

1989 - Freddy Adu anazaliwa.

Mwanasoka wa Kimarekani mwenye asili ya Ghana.

Alitajwa kama mmoja kati ya wachezaji chipukizi hatari ambao wangekuja kutikisa Dunia ya soka. Lakini alishindwa kutimiza malengo yake.
 
Leo Katika Historia:

1953 - Malkia Elizabeth II anaapishwa kuwa Malkia wa Nchi hiyo baada ya kifo cha baba yake.

Alipewa wadhifa huo akiwa na miaka 25 na kudumu na wadhifa mpaka leo.
b48a2c21e8e565a486eca2262f974010.jpg
c26348be752d3068ec4a30b09e420c07.jpg

Kwenye list ya wakuu wa nchi wazee kazidiwa na Mugabe pekee
....
 
1962 - Kombe la Dunia mwaka 1962 nchini Chile: Katika mechi ya Chile na Italy Polisi walilazimika kuingia ndani ya uwanja mara kadhaa ili kutuliza vurugu za wachezaji.

Hiyo ni moja kati ya mechi zilizojaa utemi na vurugu kubwa ambapo wachezaji wa Italy walikuwa wanalalamika refa kuwabeba Wenyeji Chile.
e17eeb270ace2621bc13d64256712d3f.jpg
]
4c034db0f2b0cbb7d2e1b0726a2d4c6d.jpg
Refa alikuwa ni Mwingereza Ken Aston
Km mnavyojua Waingereza na Wataliano hawapatani hivyo akajaribu kuleta fitna zake ila mwisho wa siku licha ya kubebwa na mwamuzi wenyeji Chile walipigwa goli 2 kwa Bashite
....
 
0735a6a237ed59064409c0466f9aca82.jpg
4c034db0f2b0cbb7d2e1b0726a2d4c6d.jpg
Refa alikuwa ni Mwingereza Ken Aston
Km mnavyojua Waingereza na Wataliano hawapatani hivyo akajaribu kuleta fitna zake ila mwisho wa siku licha ya kubebwa na mwamuzi wenyeji Chile walipigwa goli 2 kwa Bashite
....
Hahaha...2- Bashite

Mechi nyingine iliyojaa undava ni Kombe la Dunia la mwaka 1954 pale Uswizi kati ya Hungary na Brazil ambapo undava wa hali ya juu ulijitokeza. Mechi hiyo inaitwa Battle of Berne, ambapo vurugu zilianzia uwanjani na kuhamia ndani ya vyumba vya kubadilishia Nguo.

Baadae kidogo nitaleta mechi kumi zilizojaa ubabe na undava katika historia ya soka.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom