Makapuku Forum

Makapuku Forum

Ni kwelii mkuu japo nilikuwa mdogo ila nna kumbukumbu kidogo ...ila kiukweli tuombe aman ..uchumi ulidorora kwelii ila hatukufikiaa kwa hawa wenzetu tumshukuru Mungu
Duh kumbe wewe ni kaka kwangu
Mi wakati wa vita dingi(RIP) alikuwa kijana mjeda JWTZ na hivyo alienda kupigana vitani na kurudi salama na kustaafu miaka ya 200's akiwa Afisa huko jeshini
Ndiye aliyenisimulia mambo mengi
......
 
a4d033228d54a6c19051c0227094bc31.jpg
Usivyompenda Bashite naona mpaka gego la mwisho
 
Duh kumbe wewe ni kaka kwangu
Mi wakati wa vita dingi(RIP) alikuwa kijana Afisa JWTZ na hivyo alienda kupigana vitani na kurudi salama
Ndiye aliyenisimulia mambo mengi
......
Pongezii kwa mzee baba ...japo serikali waga inawatupilia kama haitambui mchango wao ila kiukwelii wanastahili heshima kubwa ...

Good enough kipind hicho nilikuwa maeneo ya kanda ya ziwa na yapo nayokumbukaa japo nilikuwa mdogo sana

Kama kwenye andakii nililala na ndo nikaota siku moja niishike Aka 47 ..smg na baadhi ya siraha kaliiii ...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom