Makapuku Forum

Tunahitaji kuwa na taasisi imara za usimamizi, ili kuepukana na haya ya kwenda kusaini mikataba London
 
Tunahitaji kuwa na taasisi imara za usimamizi, ili kuepukana na haya ya kwenda kusaini mikataba London
Too late. Ni suala la kifalsafa zaidi na kimfumo kama jamii. Bila kubadili mfumo na falsafa ya jamii kuhusu dhana nzima ya uongozi, utajiri na elimu hizo taasisi imara nazo zitafanya yale yale as long as zinaongozwa na watu ambao ni zao la falsafa na mfumo ule ule...
 
Uko vizuri
 
Asante kwa ufafanuzi murua
 
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…