





lol
Mkuu
SHIMBA YA BUYENSE nachukua fursa hii adhimu kabisa na kwa moyo mkunjufu kabisa mkuu kukupa majukumu yangu ya uandishi wa story..
Obviously nilikuwa najaribu kuangalia kama kungekuwa na story humu kapuku kungekuwa vip??
Niwazi kuwa kunakuwa kunachangamka
Ile epsode yakwanza uli ihariri vizuri na ilieleweka na watu waliipenda kweli kweli
Naomba kama utaweza kuiendeleza epsode ya 3 au ukairudia epsode ya 2 mambo yatakuwa mazuri kabisa
Niwazi kuwa mimi sina kipaji cha uandishi wa liwaya ila nilikuwa najaribu kama unavyojua sie wakinga kila biashara tunajaribu

Nimeona nikupe wewe kazi iyo naamini itakuwa kazi nzuri na hadithi ya kusisimua kabisa...
My advise: tumia hisia sana katika uandishi wako wa hiyo hadithi
ALL THE BEST