Makapuku Forum

Makapuku Forum

Mimi niko salama. Shedede kapotea pamoja na mkewe. Pengine wana marital issues kwa sababu mbwembwe walizoanza nazo hapa ilikuwa kasheshe. I hope hawajambo huko waliko.

Ile sehemu ya pili iliyokuwa ineripuliwa tu na typos kibao watu walimsema sana (kwa lengo la kumsaidia). Pengine alikereka na ameamua kumwaga manyanga. Ngoja tusubiri!
Inawezekana wako honeymoon
 
Hahaha kweli sie wakinga tuna chachu ya maendeleo binasfi nilianza na mtaji wa mil.4 baada ya miezi mitano nikafikisha mil.15 mwaka ukiisha natumai itafika mil.35

Tupo vizur japo complain haziishi ety sie wachawi BTW all the same sie ndo matajiri zaidi pale kariakoo

N.b sijisifii ni reality
Husna njoo ututhibitishie hapa
 
Mama Mchungaji. Inavyoonekana Mungu Aliweka tiba za kila aina katika miti. Na hii ndiyo ilikuwa chakula chetu kikuu kabla ya gharika. Karibu kila mti ambao hauna sumu una faida kitiba katika mwili wa binadamu. Tungekuwa makini tungeweza kuzuia magonjwa mengi na hata kujitibu kwa kutumia vyakula hivi vya mboga na majani. Ndiyo maana watu wanaokula sana mboga, matunda na mizizi ndiyo wanaongoza kwa kuishi miaka mingi hapa duniani.

Wanasayansi wanasema kuwa pilipili yo yote kali ina compound inayoitwa Caspaicin na inavyoonekana compound hii inaweza kusaidia kuzuia (na hata kutibu) kansa ya utumbo, kuzuia magonjwa ya moyo na kupunguza lehemu mbaya (bad cholesterol). Utafiti bado unaendelea. Hapa chini ni baadhi ya tafiti mbalimbali kuhusu jambo hili. Ubarikiwe tena na tena!

(1) http://www.express.co.uk/life-sty...tment-hot-chilli-peppers-sauce-food-symptoms

(2) http://www.medicalnewstoday.com/articles/280569.php

(3) https://m.medicalxpress.com/news/2017-01-association-hot-peppers-decreased-mortality.html
Asante bagheshi
 
Wakuu leo kuna mkanganyiko mkubwa wa data
Navyosonga mbele nakuta na kujiua pia kunahesabiwa
Sehemu nyingine kujua pekee
Hivyo naishia hapa maana siwezi kuandika kitu kisichojitosheleza au kilicho tofauti na utangulizi

Hivyo tukutane kesho
************************
Ni tatizo tu lililojitokeza hivyo litanikomaza na kunifanya nizidishe umaskini siku nyingine

Samahani kwa usumbufu na post nilizopost nadelete maana siku zote huwa naandika kitu kisicho na shaka au kupotosha
............
 
Wakuu leo kuna mkanganyiko mkubwa wa data
Navyosonga mbele nakuta na kujiua pia kunahesabiwa
Sehemu nyingine kujua pekee
Hivyo naishia hapa maana siwezi kuandika kitu kisichojitosheleza au kilicho tofauti na utangulizi

Hivyo tukutane kesho
************************
Ni tatizo tu lililojitokeza hivyo litanikomaza na kunifanya nizidishe umaskini siku nyingine

Samahani kwa usumbufu na post nilizopost nadelete maana siku zote huwa naandika kitu kisicho na shaka au kupotosha
............
Haina kwere mkuu

Kazi inapendeza
 
Mimi niko salama. Shedede kapotea pamoja na mkewe. Pengine wana marital issues kwa sababu mbwembwe walizoanza nazo hapa ilikuwa kasheshe. I hope hawajambo huko waliko.

Ile sehemu ya pili iliyokuwa ineripuliwa tu na typos kibao watu walimsema sana (kwa lengo la kumsaidia). Pengine alikereka na ameamua kumwaga manyanga. Ngoja tusubiri!
Sawa,nashukuru
 
Hahaha kweli sie wakinga tuna chachu ya maendeleo binasfi nilianza na mtaji wa mil.4 baada ya miezi mitano nikafikisha mil.15 mwaka ukiisha natumai itafika mil.35

Tupo vizur japo complain haziishi ety sie wachawi BTW all the same sie ndo matajiri zaidi pale kariakoo

N.b sijisifii ni reality
Shemela huyo
 
lol

Mkuu SHIMBA YA BUYENSE nachukua fursa hii adhimu kabisa na kwa moyo mkunjufu kabisa mkuu kukupa majukumu yangu ya uandishi wa story..

Obviously nilikuwa najaribu kuangalia kama kungekuwa na story humu kapuku kungekuwa vip??
Niwazi kuwa kunakuwa kunachangamka

Ile epsode yakwanza uli ihariri vizuri na ilieleweka na watu waliipenda kweli kweli

Naomba kama utaweza kuiendeleza epsode ya 3 au ukairudia epsode ya 2 mambo yatakuwa mazuri kabisa

Niwazi kuwa mimi sina kipaji cha uandishi wa liwaya ila nilikuwa najaribu kama unavyojua sie wakinga kila biashara tunajaribu

Nimeona nikupe wewe kazi iyo naamini itakuwa kazi nzuri na hadithi ya kusisimua kabisa...

My advise: tumia hisia sana katika uandishi wako wa hiyo hadithi

ALL THE BEST
Uciniambie umebwaga manyanga
 
Hapana. Mimi nilijitolea kuwa mhariri tu. Kuandika naweza lakini siwezi kuendeleza hadithi yako kwa sababu sitaitendea haki.

Watu wote waliokukosoa katika episode 2 walikuwa na lengo la kukujenga na siyo kukukatisha tamaa. Kuandika unaweza sana sema tu pengine ulikuwa huna muda na hukutulia sawa sawa.

Pengine uko bize. Ukitulia please rudi angalau utumalizie hadithi yetu hata ikibidi uifupishe yote katika sehemu ya 3. Hutatutendea haki kutumegea kidogo hicho halafu utuache katika taharuki (suspense). Ni lazima tujue hicho kiumbe ni nini, kimetoka wapi na kwa nini kimekuja duniani, na ujasiri wa Chief Commander McClaw. Naanzisha hii hashtag hapa Makapuku:

# Shedede Finish Our Story #
hatimae mwandishi abwaga manyanga
[HASHTAG]#Shedede[/HASHTAG] finish our stori#
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom