BlessedHope
JF-Expert Member
- Jan 29, 2016
- 7,988
- 32,649
Njema za kushindaHabari wakuu
Hahaha kweli sie wakinga tuna chachu ya maendeleo binasfi nilianza na mtaji wa mil.4 baada ya miezi mitano nikafikisha mil.15 mwaka ukiisha natumai itafika mil.35Wasomi wengine mna tatizo hili. Mtu anataka kuanzisha biashara basi business plan, mara sijui nadharia gani ya kiuchumi inasema hivi ali mradi ni analysis after analysis. Mkinga Shedede yeye akiamua ameamua na kesho na keshokutwa unamkuta kafikisha maduka saba msomi huku bado anafanya uchambuzi wa kibiashara...
Asante kwa magazine japo sikupata mda wa kuyasomaSASA TUPATE MAGAZETI YA LEO
Mama Mchungaji. Inavyoonekana Mungu Aliweka tiba za kila aina katika miti. Na hii ndiyo ilikuwa chakula chetu kikuu kabla ya gharika. Karibu kila mti ambao hauna sumu una faida kitiba katika mwili wa binadamu. Tungekuwa makini tungeweza kuzuia magonjwa mengi na hata kujitibu kwa kutumia vyakula hivi vya mboga na majani. Ndiyo maana watu wanaokula sana mboga, matunda na mizizi ndiyo wanaongoza kwa kuishi miaka mingi hapa duniani.Asante mkuu SHIMBA,naweza kula yoyote au mbegu hii tu,ingawa huwa situmii pilipili kabisa,nitatumia kwa ajili ya kinga
Mama mchungaji habar yako??Njema za kushinda
Hongera sana sanaHahaha kweli sie wakinga tuna chachu ya maendeleo binasfi nilianza na mtaji wa mil.4 baada ya miezi mitano nikafikisha mil.15 mwaka ukiisha natumai itafika mil.35
Tupo vizur japo complain haziishi ety sie wachawi BTW all the same sie ndo matajiri zaidi pale kariakoo
N.b sijisifii ni reality





lol 

Mama Mchungaji. Niwazi kuwa Mungu Aliweka tiba za kila aina katika miti. Na hii ndiyo ilikuwa chakula chetu kikuu kabla ya gharika. Karibu kila mti ambao hauna sumu una faida kitiba katika mwili wa binadamu. Tungekuwa makini tungeweza kuzuia magonjwa mengi na hata kujitibu kwa kutumia vyakula hivi vya mboga na majani. Ndiyo maana watu wanaokula sana mboga, matunda na mizizi ndiyo wanaongoza kwa kuishi miaka mingi hapa duniani.
Wanasayansi wanasema kuwa pilipili yo yote kali ina compound inayoitwa Caspaicin na inavyoonekana compound hii inaweza kusaidia kuzuia (na hata kutibu) kansa ya utumbo, kuzuia magonjwa ya moyo na kupunguza lehemu mbaya (bad cholesterol). Utafiti bado unaendelea. Hapa chini ni baadhi ya tafiti mbalimbali kuhusu jambo hili. Ubarikiwe tena na tena!
(1) http://www.express.co.uk/life-sty...tment-hot-chilli-peppers-sauce-food-symptoms
(2) http://www.medicalnewstoday.com/articles/280569.php
(3) https://m.medicalxpress.com/news/2017-01-association-hot-peppers-decreased-mortality.html
Tiririka mkuuTOP TEN
Leo tuangalie nchi zinazoongoza kwa mauaji duniani
Naongelea kuhusu uhalifu wa watu kuuawa(murder)
Hivyo siongelei masuala ya vita wala watu kujinyonga bali watu kuuawa kwa kuchomwa moto,visu,kupigwa risasi,kipigo n.k
NB
Kigezo kinachotumika ni kuangalia idadi ya watu wanaouawa kwa kila watu 100k(laki 1) kwa mwaka
.....
Wanafunzi wote wa Tanzania wapigwe hii shock pengine italeta mvuvumko wa kisayansi![]()

Hapana. Mimi nilijitolea kuwa mhariri tu. Kuandika naweza lakini siwezi kuendeleza hadithi yako kwa sababu sitaitendea haki.lol
Mkuu SHIMBA YA BUYENSE nachukua fursa hii adhimu kabisa na kwa moyo mkunjufu kabisa mkuu kukupa majukumu yangu ya uandishi wa story..
Obviously nilikuwa najaribu kuangalia kama kungekuwa na story humu kapuku kungekuwa vip??
Niwazi kuwa kunakuwa kunachangamka
Ile epsode yakwanza uli ihariri vizuri na ilieleweka na watu waliipenda kweli kweli
Naomba kama utaweza kuiendeleza epsode ya 3 au ukairudia epsode ya 2 mambo yatakuwa mazuri kabisa
Niwazi kuwa mimi sina kipaji cha uandishi wa liwaya ila nilikuwa najaribu kama unavyojua sie wakinga kila biashara tunajaribu
Nimeona nikupe wewe kazi iyo naamini itakuwa kazi nzuri na hadithi ya kusisimua kabisa...
My advise: tumia hisia sana katika uandishi wako wa hiyo hadithi
ALL THE BEST
Asante sana,nafahamu kuwa chakula,mimea,matunda ni dawa ni kanuni ya kibiblia pia,tunashauriwa turejee katika bustani ya Eden,na tuyaishi maisha yale mahali ambapo wazazi wetu wa mwanzo waliishi kwa kula mimea,mizizi,matunda...hapo kwenye pilipili nilipoona picha nikashawishika kuuliza nikifikiri kuwa kuna tafiti maalumu khs hizi pilipili...nakushukuru sana kwa elimu zaidi ubarikiweMama Mchungaji. Inavyoonekana Mungu Aliweka tiba za kila aina katika miti. Na hii ndiyo ilikuwa chakula chetu kikuu kabla ya gharika. Karibu kila mti ambao hauna sumu una faida kitiba katika mwili wa binadamu. Tungekuwa makini tungeweza kuzuia magonjwa mengi na hata kujitibu kwa kutumia vyakula hivi vya mboga na majani. Ndiyo maana watu wanaokula sana mboga, matunda na mizizi ndiyo wanaongoza kwa kuishi miaka mingi hapa duniani.
Wanasayansi wanasema kuwa pilipili yo yote kali ina compound inayoitwa Caspaicin na inavyoonekana compound hii inaweza kusaidia kuzuia (na hata kutibu) kansa ya utumbo, kuzuia magonjwa ya moyo na kupunguza lehemu mbaya (bad cholesterol). Utafiti bado unaendelea. Hapa chini ni baadhi ya tafiti mbalimbali kuhusu jambo hili. Ubarikiwe tena na tena!
(1) http://www.express.co.uk/life-sty...tment-hot-chilli-peppers-sauce-food-symptoms
(2) http://www.medicalnewstoday.com/articles/280569.php
(3) https://m.medicalxpress.com/news/2017-01-association-hot-peppers-decreased-mortality.html

DuuuNazir Karamagi - fisadi aliyetia sahihi mikataba ya madini inayotusumbua mpaka leo tena usiku wa manane jijini London anatajwa kuwa ndiye tajiri namba 9 nchini Tanzania. Halafu eti mahakama ya mafisadi haina washtakiwa. Tunacheza kiduku na hatuko siriazi na nchi hii. Kamata hawa, tupa ndani halafu taifisha mali yote ili na wengine wajifunze.![]()
![]()
achunguzwe..Duuu
Uchunguz wa kibongo full vitukoachunguzwe..