mzeewakungoa
JF-Expert Member
- Nov 26, 2016
- 4,969
- 13,920
Kwa kweli tunamshukuru Kumekucha salamaWakuu kumekucha salama...Tumshukuru Mungu kwa yote ...
Soon UF inawajia
Kwa kweli tunamshukuru Kumekucha salamaWakuu kumekucha salama...Tumshukuru Mungu kwa yote ...
Soon UF inawajia
Shukran Rafiki kipenzTuwe na siku njema wakuu..
But remember ....
![]()
Shukrani
Asante... Same to youHabari ya jioni wapendwa,naamini wote mmekuwa na cku njema,pole kwa walio kumbana na changamoto mbalimbali,muwe najion njema
Nzuri... Vp mkuu... Leo unamnyatia nani?Habari wakuu
cc Mkolomije
Kwa nini bagheshi?Kutokea Mwanza? Ushindwe na ulegee Madenge!
Sasa twafwaWanafunzi wote wa Tanzania wapigwe hii shock pengine italeta mvuvumko wa kisayansi![]()
Asante kwa taarifaNa pia ni kinga nzuri ya kansa ya utumbo. Hata ukiitumia mara moja tu kwa mwezi...
Umeshindaje mhariri wetu vp Shedede bado hajaleta hadithi ihaririwe
Mimi niko salama. Shedede kapotea pamoja na mkewe. Pengine wana marital issues kwa sababu mbwembwe walizoanza nazo hapa ilikuwa kasheshe. I hope hawajambo huko waliko.Umeshindaje mhariri wetu vp Shedede bado hajaleta hadithi ihaririwe
Njema amina asante nawe piaHabari ya jioni wapendwa,naamini wote mmekuwa na cku njema,pole kwa walio kumbana na changamoto mbalimbali,muwe najion njema
Asante mkuu SHIMBA,naweza kula yoyote au mbegu hii tu,ingawa huwa situmii pilipili kabisa,nitatumia kwa ajili ya kingaNa pia ni kinga nzuri ya kansa ya utumbo. Hata ukiitumia mara moja tu kwa mwezi...
Hasikiki kabisaa,wanaumia wengineNazir Karamagi - fisadi aliyetia sahihi mikataba ya madini inayotusumbua mpaka leo tena usiku wa manane jijini London anatajwa kuwa ndiye tajiri namba 9 nchini Tanzania. Halafu eti mahakama ya mafisadi haina washtakiwa. Tunacheza kiduku na hatuko siriazi na nchi hii. Kamata hawa, tupa ndani halafu taifisha mali yote ili na wengine wajifunze.![]()
![]()