shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Asante mama mchungaji kwa kuyapitiaAsante kwa magazeti mkuu Shululu ubarikiwe kazi yako ni njema![]()
Nawe siku njema
Asante mama mchungaji kwa kuyapitiaAsante kwa magazeti mkuu Shululu ubarikiwe kazi yako ni njema![]()
Habari za asubuhi Makapuku.
Naomba samahani kwa wapenzi wote wa gitaa kwa link mbovu iliyotokea jana usiku. Ndo changamoto ya tech hiyo na simu niliyoletewa na anko Lee ina mbwembwe nyingi.
najaribu kukirudia kibao nilichokipandisha jana. Kifupi tu nilisema, Michael Bolton mbali na kuimba anajua sana kupiga gitaa akiwa kishawahi kupiga katika band ya muziki wa Rock.
Na jamaa ni vegetarian😀

Leo katika Historia:
1910 - Union of South Africa yaanzishwa.
Asante mkuuTUPATE DONDOO ZA MAGAZETI YA LEO
Morning mkuu ubarikiweMorning family
Ubarikiwe Lee kazi yako ni njema siku njema salaam kwa mwanangu Shunie wa LeeTuwe na siku njema wakuu..
But remember ....
![]()
Shukrani

Tuko pamoja mkuu siku njema barikiwaVp wakuu leo tuko pamoko aisee..
HahahaahaaAddittion knowledge...![]()
1961 - Union of South Africa yawa Jamhuri ya South Africa.
Bora maana wengi wangekufa
Alienda wapi?
Na wanaiheshimu
Mungu yu mwemaWakuu kumekucha salama...Tumshukuru Mungu kwa yote ...
Soon UF inawajia
1977 - Trans-Alaska pipeline yazinduliwa rasmi.
Ni moja kati ya bomba lefu zaidi Duniani linalosafirisha mafuta.
Tunamshukuru MunguWakuu kumekucha salama...Tumshukuru Mungu kwa yote ...
Soon UF inawajia