Makapuku Forum

Makapuku Forum

Muziki: Usizibane Hisia Zako

Habari Makapuku, ni usiku mwingie tena, waliomaliza majukumu ya kujitafutia kipato, hongera na wale night shifters basi 'good luck'. Mimi sijambo na ninajisikia vema sana kukutana nanyi hapa, Makapuku forum, sehemu ya maarifa, utani, kujamiiana na zaidi ni serikali ndani ya serikali. if that makes sense, if not, ni jioni tena na usijali maana kutakucha.

Well, segment ya gitaa na muziki ndo inayonifanya niwe sehemu ya Makapuku, na wewe unayejipa muda kuipitia basi tambua kuwa ninakuthamini sana maana wewe ni 'great pipo'.

Basi kama umesoma aya hizo hapo juu (ambazo huwa ni balah blah kujazisha ukurusa) basi turudi kwenye utamu wa gitaa katika muziki na leo tunamwangalia mtaalam wa sauti za kubembeleza Michael Bolton.
Yes, si wote mnajua kuwa jamaa mbali na kuwa na sauti nzuri kwa ajili ya watu wazima, jamaa ni mtaalamu wa kupiga gitaa na alipiga katika bendi ya muziki wa Rock miaka hiyo hajaamua kujikita kwenye 'soul', keshacheza sinema pia na kuandika vitabu.

Sikiza sauti yake katika 'pini' lake 'when a man loves a woman'



Hadi wakati mwingine tena. LLL
 
Muziki: Usizibane Hisia Zako

Habari Makapuku, ni usiku mwingie tena, waliomaliza majukumu ya kujitafutia kipato, hongera na wale night shifters basi 'good luck'. Mimi sijambo na ninajisikia vema sana kukutana nanyi hapa, Makapuku forum, sehemu ya maarifa, utani, kujamiiana na zaidi ni serikali ndani ya serikali. if that makes sense, if not, ni jioni tena na usijali maana kutakucha.

Well, segment ya gitaa na muziki ndo inayonifanya niwe sehemu ya Makapuku, na wewe unayejipa muda kuipitia basi tambua kuwa ninakuthamini sana maana wewe ni 'great pipo'.

Basi kama umesoma aya hizo hapo juu (ambazo huwa ni balah blah kujazisha ukurusa) basi turudi kwenye utamu wa gitaa katika muziki na leo tunamwangalia mtaalam wa sauti za kubembeleza Michael Bolton.
Yes, si wote mnajua kuwa jamaa mbali na kuwa na sauti nzuri kwa ajili ya watu wazima, jamaa ni mtaalamu wa kupiga gitaa na alipiga katika bendi ya muziki wa Rock miaka hiyo hajaamua kujikita kwenye 'soul', keshacheza sinema pia na kuandika vitabu.

Sikiza sauti yake katika 'pini' lake 'when a man loves a woman'



Hadi wakati mwingine tena. LLL

Asante Obe, ila Kwangu imegoma kufunguka
 
Sitak kubisha hili la ulimi.. Najiwazia tu Tembo uzito wake ni kama tani 7...
Ubiahe usibishe itadaidia nini?
Uzito wa tembo ni Tani 7
N yangumi uzito wake Tani 180
Sasa uzito(sio ukubwa) wa ulimi wa nyangumi kulingana na uzito wa tembo inaweza kuwa ni kitu cha ajabu?

Napenda watu wanaonichallenge kwa hoja au data
Sio kuishia juujuu tu
.......
 
Yai lake ni gumu sana
2637bdaea60bc45ab4dbd296159babeb.jpg

Ukilivunja inabidi uwe na chpmbo kikubwa ili uwezo kulikaanga lasivyo ulikaange kwa nusu nusu
......
 
Muziki: Usizibane Hisia Zako

Habari Makapuku, ni usiku mwingie tena, waliomaliza majukumu ya kujitafutia kipato, hongera na wale night shifters basi 'good luck'. Mimi sijambo na ninajisikia vema sana kukutana nanyi hapa, Makapuku forum, sehemu ya maarifa, utani, kujamiiana na zaidi ni serikali ndani ya serikali. if that makes sense, if not, ni jioni tena na usijali maana kutakucha.

Well, segment ya gitaa na muziki ndo inayonifanya niwe sehemu ya Makapuku, na wewe unayejipa muda kuipitia basi tambua kuwa ninakuthamini sana maana wewe ni 'great pipo'.

Basi kama umesoma aya hizo hapo juu (ambazo huwa ni balah blah kujazisha ukurusa) basi turudi kwenye utamu wa gitaa katika muziki na leo tunamwangalia mtaalam wa sauti za kubembeleza Michael Bolton.
Yes, si wote mnajua kuwa jamaa mbali na kuwa na sauti nzuri kwa ajili ya watu wazima, jamaa ni mtaalamu wa kupiga gitaa na alipiga katika bendi ya muziki wa Rock miaka hiyo hajaamua kujikita kwenye 'soul', keshacheza sinema pia na kuandika vitabu.

Sikiza sauti yake katika 'pini' lake 'when a man loves a woman'



Hadi wakati mwingine tena. LLL

Asante bhinamuu
 
1/Blue Whale
61509101e5d9ad959972505b4f7f15d5.jpg
7a6c6083607d4118249ace38b30a7e21.jpg

Aina hii ya nyangumi ndo inashikilia rekodi ya mnyama mkubwa zaidi duniani
32e466dfabd05e22407601a652ba35bd.jpg

Urefu wao hufikia mita 30
Uzito wao hufikia Tani 180
Ulimi wao una uzito sawa na tembo mkubwa
Moyo wao una ukubwa/uzito sawa na gari
.
.
.
.
Viumbe vya majini vimetawala list km kawa
*List ya sumu wao
*List ya kuishi miaka mingi wao
Kiufupi kaa mbali na bahari
.
.
Shukrani kwa mliosapoti mada
Tukutane kesho
Mwisho
......
Pamoja mkuu
 
AYUBU 11

18.Nawe utakuwa salama ,kwa sababu kuna matumaini;naam,utatafuta -tafuta kando yako,na utapumzika katika salama.

19.Tena utalala,wala hapana atakayekutia hofu;Naam,wengi watautafuta uso wako.


Asante Mungu kwa ulinzi wako,asante kutufikisha umbali huu ,tusaidie tuzidi kukutafuta nyoosha mkono wako kutukinga na maovu ,tamaa,dhambi za kila namna,Roho Mtakatifu uwe mwalimu wetu mwema tuf
undishe kutenda mema ,tukae mbali na uovu ili tusahau tabu na mashaka yote.
asante Baba kwakuwa utatenda sawa na mapenzi yako.

Katika jina la Yesu Amen

USIKU MWEMA MBARIKIWE
 
200k
kwanza tujipe hongera wenyewe kwa kila mmoja waliopo active kuanzia kitambo,sasa na kesho
nimeingia ktk hii familia mwezi wa 12 mwaka jana nakumbuka kipindi kile nilikuta kama posts 120k, na post yangu ya kwanza humu ndani niliandika namba yake ila kwa sasa nishasahau kwa kipindi hiko sikuwa active kwa sana...

Mondray huyu braza ndiye alienileta humu na kufanya mm kuwa active mpaka leo
kwa kipindi hiko nilikuta watu kama Queen Kan, Nyagei, Emmyta, Lee, Shunii, Sakayo, Transcend, Mussolin, Bitoz, BH, Werrason na wengine, baada ya siku 2,3 Shedede nae akatinga...

kwenye wengi kuna mengi, kuna baadhi ya watu washawahi kunikwazwa kwa namna moja au nyingine "sitaweza kuwataja hao watu" pia siwezi kusemea kwa upande wao ila kama kuna niliyemkwaza anisamehe kwa kweli

humu ndani nitakosekana labda leo na kesho ila sitakosekana kwa kipindi chote

credit kwa Bitoz na timu yake kwa ujumla kwa kuleta kitu kama hiki humu jf

nimejifunza na nitajifunza mengi
Shukraniii..
Kweli bro tumetoka mbali aisee tumekutana wote wageni humu nashukuru hapa Kp ndio pamenifanya mom kujulikana na kufahamiana na memba mbalimbali.
Tuko pamoja ila mm lika lako tu sio mkubwa ki hivyo..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom