Tumosa
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 16,527
- 52,623
UnaendleajeNiambie my swi
UnaendleajeNiambie my swi
Niko poa kabisa my swiUnaendleaje
Muziki: Usizibane Hisia Zako
Habari Makapuku, ni usiku mwingie tena, waliomaliza majukumu ya kujitafutia kipato, hongera na wale night shifters basi 'good luck'. Mimi sijambo na ninajisikia vema sana kukutana nanyi hapa, Makapuku forum, sehemu ya maarifa, utani, kujamiiana na zaidi ni serikali ndani ya serikali. if that makes sense, if not, ni jioni tena na usijali maana kutakucha.
Well, segment ya gitaa na muziki ndo inayonifanya niwe sehemu ya Makapuku, na wewe unayejipa muda kuipitia basi tambua kuwa ninakuthamini sana maana wewe ni 'great pipo'.
Basi kama umesoma aya hizo hapo juu (ambazo huwa ni balah blah kujazisha ukurusa) basi turudi kwenye utamu wa gitaa katika muziki na leo tunamwangalia mtaalam wa sauti za kubembeleza Michael Bolton.
Yes, si wote mnajua kuwa jamaa mbali na kuwa na sauti nzuri kwa ajili ya watu wazima, jamaa ni mtaalamu wa kupiga gitaa na alipiga katika bendi ya muziki wa Rock miaka hiyo hajaamua kujikita kwenye 'soul', keshacheza sinema pia na kuandika vitabu.
Sikiza sauti yake katika 'pini' lake 'when a man loves a woman'
Hadi wakati mwingine tena. LLL
Ubiahe usibishe itadaidia nini?![]()
![]()
Sitak kubisha hili la ulimi.. Najiwazia tu Tembo uzito wake ni kama tani 7...
Yai lake ni gumu sana
Muziki: Usizibane Hisia Zako
Habari Makapuku, ni usiku mwingie tena, waliomaliza majukumu ya kujitafutia kipato, hongera na wale night shifters basi 'good luck'. Mimi sijambo na ninajisikia vema sana kukutana nanyi hapa, Makapuku forum, sehemu ya maarifa, utani, kujamiiana na zaidi ni serikali ndani ya serikali. if that makes sense, if not, ni jioni tena na usijali maana kutakucha.
Well, segment ya gitaa na muziki ndo inayonifanya niwe sehemu ya Makapuku, na wewe unayejipa muda kuipitia basi tambua kuwa ninakuthamini sana maana wewe ni 'great pipo'.
Basi kama umesoma aya hizo hapo juu (ambazo huwa ni balah blah kujazisha ukurusa) basi turudi kwenye utamu wa gitaa katika muziki na leo tunamwangalia mtaalam wa sauti za kubembeleza Michael Bolton.
Yes, si wote mnajua kuwa jamaa mbali na kuwa na sauti nzuri kwa ajili ya watu wazima, jamaa ni mtaalamu wa kupiga gitaa na alipiga katika bendi ya muziki wa Rock miaka hiyo hajaamua kujikita kwenye 'soul', keshacheza sinema pia na kuandika vitabu.
Sikiza sauti yake katika 'pini' lake 'when a man loves a woman'
Hadi wakati mwingine tena. LLL
Asante Obe, ila Kwangu imegoma kufunguka
Hata kwangu imegoma. Natumia JF app kwenye Nokia zile original kabisa....Thanks mdau.
Hapo kwenye kugoma kufunguka, nitaangalia kama link ina shida kwa baadhi ya apps.
Na kama kuna mdau mwengine ambaye hafungui hizi clip, sorry
Pamoja mkuu1/Blue Whale![]()
![]()
Aina hii ya nyangumi ndo inashikilia rekodi ya mnyama mkubwa zaidi duniani![]()
Urefu wao hufikia mita 30
Uzito wao hufikia Tani 180
Ulimi wao una uzito sawa na tembo mkubwa
Moyo wao una ukubwa/uzito sawa na gari
.
.
.
.
Viumbe vya majini vimetawala list km kawa
*List ya sumu wao
*List ya kuishi miaka mingi wao
Kiufupi kaa mbali na bahari
.
.
Shukrani kwa mliosapoti mada
Tukutane kesho
Mwisho
......
Pamoja mkuu
Asante bitoz kwa top ten
AYUBU 11

Shukraniii..200k
kwanza tujipe hongera wenyewe kwa kila mmoja waliopo active kuanzia kitambo,sasa na kesho
nimeingia ktk hii familia mwezi wa 12 mwaka jana nakumbuka kipindi kile nilikuta kama posts 120k, na post yangu ya kwanza humu ndani niliandika namba yake ila kwa sasa nishasahau kwa kipindi hiko sikuwa active kwa sana...
Mondray huyu braza ndiye alienileta humu na kufanya mm kuwa active mpaka leo
kwa kipindi hiko nilikuta watu kama Queen Kan, Nyagei, Emmyta, Lee, Shunii, Sakayo, Transcend, Mussolin, Bitoz, BH, Werrason na wengine, baada ya siku 2,3 Shedede nae akatinga...
kwenye wengi kuna mengi, kuna baadhi ya watu washawahi kunikwazwa kwa namna moja au nyingine "sitaweza kuwataja hao watu" pia siwezi kusemea kwa upande wao ila kama kuna niliyemkwaza anisamehe kwa kweli
humu ndani nitakosekana labda leo na kesho ila sitakosekana kwa kipindi chote
credit kwa Bitoz na timu yake kwa ujumla kwa kuleta kitu kama hiki humu jf
nimejifunza na nitajifunza mengi