shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Ikiwemo China![]()
![]()
![]()
Wanapinga tu kwa maneno ila kuzuia uzalishaji wa tumbaku au kufungia viwanda vya sigara hawawezi
Ni chanzo kikubwa cha mapato katika nchi nyingi duniani
.......
Ikiwemo China![]()
![]()
![]()
Wanapinga tu kwa maneno ila kuzuia uzalishaji wa tumbaku au kufungia viwanda vya sigara hawawezi
Ni chanzo kikubwa cha mapato katika nchi nyingi duniani
.......
Baadaye ikapinduliwa na TBL now ma kampuni ya simuKama hapa Bongo kuna wakati flani kampuni ya Sigara ( TCC ) ilikuwa ndio inaongoza kwa kulipa kodi vizuri.
Mhhhhhhmhhhhh![]()
Karibu sana
Walikariri hivyo hawakusoma alama za nyakatiSasa hii waliyokuwa wanaitafuta ni fedheha
Noti right kabisaBaadaye ikapinduliwa na TBL now ma kampuni ya simu
Cha kushangaza madini yana thanani kubwa lakini akina ACACIA wanalipa kodi kiduchu mara nyingine hupewamsamaha wa kodi kabisa
......
Nini tena ankali??Mhhhhhhmhhhhh
YeahWalikariri hivyo hawakusoma alama za nyakati
Pia Waafrika tuna tabia ya visasi pindi tukibadilishana madaraka hivyo huwenda aliogopa
.......
Asante nawe kwa kujaAhsante mkuu Bitoz kwa picha murua
Haswa Chama pinzani kinapokishinda Chama utawalaYeah
Unaweza kukuta aliogopa kweli
Ndio maana tunaendelea kutawaliwa kifikra, kiuchumi kwa sababu badala ya kutumia nafasi kuongoza inabaki kulipiza kisasi.Walikariri hivyo hawakusoma alama za nyakati
Pia Waafrika tuna tabia ya visasi pindi tukibadilishana madaraka hivyo huwenda aliogopa
.......
Siasa za majitaka za kiafrikaHaswa Chama pinzani kinapokishinda Chama utawala
Ni visasi kwenda mbele maana walitendewa upuuziupuuzi hivyo lazima watalipiza labda wakimbilie nje ya nchi
Ndo tabu ya kutawala kiSizonje
......
Mbaya sana hiiNdio maana tunaendelea kutawaliwa kifikra, kiuchumi kwa sababu badala ya kutumia nafasi kuongoza inabaki kulipiza kisasi.
Ndio maana tunaendelea kutawaliwa kifikra, kiuchumi kwa sababu badala ya kutumia nafasi kuongoza inabaki kulipiza kisasi.
Ndo ivoSiasa za majitaka za kiafrika
Bila kinywaji kweli ankaliNini tena ankali??
Vinywaji ni kujitegemeaBila kinywaji kweli ankali
Hapa ni Shamba la bibi.Baadaye ikapinduliwa na TBL now ma kampuni ya simu
Cha kushangaza madini yana thanani kubwa lakini akina ACACIA wanalipa kodi kiduchu mara nyingine hupewamsamaha wa kodi kabisa
......
Asante japo udenda umenitokaaa![]()
Karibu sana
Ukuje tu maana hamna namna nyingineAsante japo udenda umenitokaaa