NiajeeVp wakuu leo tuko pamoko aisee..
PamojaaShukrani mkuu
MorningMorning family
Habari za asubuhi Makapuku.
Naomba samahani kwa wapenzi wote wa gitaa kwa link mbovu iliyotokea jana usiku. Ndo changamoto ya tech hiyo na simu niliyoletewa na anko Lee ina mbwembwe nyingi.
najaribu kukirudia kibao nilichokipandisha jana. Kifupi tu nilisema, Michael Bolton mbali na kuimba anajua sana kupiga gitaa akiwa kishawahi kupiga katika band ya muziki wa Rock.
Na jamaa ni vegetarian😀
Pamoja sana mkuu!!View attachment 516913Mpaka hapo sina la ziada tukutane tena kesho muda na wakati kama huu kwa udhamini mnono wa Mndali
Jumatano njema
Amen mama Mchungaji ubarikiwe piaAYUBU 11
18.Nawe utakuwa salama ,kwa sababu kuna matumaini;naam,utatafuta -tafuta kando yako,na utapumzika katika salama.
19.Tena utalala,wala hapana atakayekutia hofu;Naam,wengi watautafuta uso wako.
Asante Mungu kwa ulinzi wako,asante kutufikisha umbali huu ,tusaidie tuzidi kukutafuta nyoosha mkono wako kutukinga na maovu ,tamaa,dhambi za kila namna,Roho Mtakatifu uwe mwalimu wetu mwema tuf
undishe kutenda mema ,tukae mbali na uovu ili tusahau tabu na mashaka yote.
asante Baba kwakuwa utatenda sawa na mapenzi yako.
Katika jina la Yesu Amen
USIKU MWEMA MBARIKIWE![]()
![]()
![]()
Hbr ya uzima shemelaWakuu kumekucha salama...Tumshukuru Mungu kwa yote ...
Soon UF inawajia