Makapuku Forum

Makapuku Forum

IMG-20170531-WA0009.jpg
 
Habari za asubuhi Makapuku.
Naomba samahani kwa wapenzi wote wa gitaa kwa link mbovu iliyotokea jana usiku. Ndo changamoto ya tech hiyo na simu niliyoletewa na anko Lee ina mbwembwe nyingi.

najaribu kukirudia kibao nilichokipandisha jana. Kifupi tu nilisema, Michael Bolton mbali na kuimba anajua sana kupiga gitaa akiwa kishawahi kupiga katika band ya muziki wa Rock.

Na jamaa ni vegetarian😀


Asante sana Obe
 
AYUBU 11

18.Nawe utakuwa salama ,kwa sababu kuna matumaini;naam,utatafuta -tafuta kando yako,na utapumzika katika salama.

19.Tena utalala,wala hapana atakayekutia hofu;Naam,wengi watautafuta uso wako.


Asante Mungu kwa ulinzi wako,asante kutufikisha umbali huu ,tusaidie tuzidi kukutafuta nyoosha mkono wako kutukinga na maovu ,tamaa,dhambi za kila namna,Roho Mtakatifu uwe mwalimu wetu mwema tuf
undishe kutenda mema ,tukae mbali na uovu ili tusahau tabu na mashaka yote.
asante Baba kwakuwa utatenda sawa na mapenzi yako.

Katika jina la Yesu Amen

USIKU MWEMA MBARIKIWE
Amen mama Mchungaji ubarikiwe pia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom