Makapuku Forum

Makapuku Forum

f3668e82ca6c9f3c3627dbeb6f693ab2.jpg
 
Nyie fukueni makaburi tu. Mengine yana laana na ukiyafukua hutabaki salama. Mfano inasemekana watu wote waliofukua kaburi la huyu dogo hapa chini wote waliangamia mmoja baada ya mwingine. Mpaka leo wanasayansi wanakuna vichwa kujua hasa ni nini kiliwaua. Na kwa nchi yetu hii makaburi yakifukuliwa, sidhani kama kuna atakayesalimika - si wa kule wala wa huku. Uozooooo!!!
266327f124b92381bff0287134973910.jpg
Mjenzi wa kaburi hakutaka ku-classified hivyo halina madhara
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom