Makapuku Forum

Makapuku Forum

Habari za asubuhi Makapuku.
Naomba samahani kwa wapenzi wote wa gitaa kwa link mbovu iliyotokea jana usiku. Ndo changamoto ya tech hiyo na simu niliyoletewa na anko Lee ina mbwembwe nyingi.

najaribu kukirudia kibao nilichokipandisha jana. Kifupi tu nilisema, Michael Bolton mbali na kuimba anajua sana kupiga gitaa akiwa kishawahi kupiga katika band ya muziki wa Rock.

Na jamaa ni vegetarian😀


Hapa ndio penyewe

Ahsante sana Jorowe
 
Habari za asubuhi Makapuku.
Naomba samahani kwa wapenzi wote wa gitaa kwa link mbovu iliyotokea jana usiku. Ndo changamoto ya tech hiyo na simu niliyoletewa na anko Lee ina mbwembwe nyingi.

najaribu kukirudia kibao nilichokipandisha jana. Kifupi tu nilisema, Michael Bolton mbali na kuimba anajua sana kupiga gitaa akiwa kishawahi kupiga katika band ya muziki wa Rock.

Na jamaa ni vegetarian😀


Asante Obe
Huyu jamaa mi namuelewa sanaa
 
ZABURI 37

25.Nilikua kijana nami sasa ni mzee,Lakini sijamwona mwenye haki ameachwa Wala mzao wake akiomba chakula.

26.Mchana kutwa hufadhili na kukopesha,Na mzao wake hubarikiwa.

27.Jiepue na uovu ,utende mema,Na kukaa hata milele.

28.Kwakuwa BWANA hupenda haki,Wala hawaachi watauwa wake.Wao hulindwa milele .Bali mzao wa wasio haki ataharibiwa.

29.Wenye haki watairithi nchi Nao watakaa humo milele

30.Kinywa chake mwenye haki hunena hekima,Na ulimi wake husema hukumu.

Baba asante kwa kutuamsha salama ,tembea nasi siku ya leo Roho Mtakatifu tuongoze katika yote,uwe mwalimu wetu,mfariji,mlinzi.
Asante kwakuwa utatenda sawa na mapenzi yako,katika jina la Yesu Amen
SIKU NJEMA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom