Nyagei
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 13,201
- 44,601
Nukuu ya mwalimu ni balaa
Nukuu ya mwalimu ni balaa
Asante mkuu Shululu. Ninamshukuru mdhamini Mndali.View attachment 516913Mpaka hapo sina la ziada tukutane tena kesho muda na wakati kama huu kwa udhamini mnono wa Mndali
Jumatano njema
Morning my swiMorning Hun
Asante mama watoto wanguAsante kwa magazeti baba watoto
Pamoja sana ipogoloAsante mkuu Shululu. Ninamshukuru mdhamini Mndali.
Habari za asubuhi Makapuku.
Naomba samahani kwa wapenzi wote wa gitaa kwa link mbovu iliyotokea jana usiku. Ndo changamoto ya tech hiyo na simu niliyoletewa na anko Lee ina mbwembwe nyingi.
najaribu kukirudia kibao nilichokipandisha jana. Kifupi tu nilisema, Michael Bolton mbali na kuimba anajua sana kupiga gitaa akiwa kishawahi kupiga katika band ya muziki wa Rock.
Na jamaa ni vegetarian😀
Pamoja mkuuAsante kwa leo katika historia
Habari za asubuhi Makapuku.
Naomba samahani kwa wapenzi wote wa gitaa kwa link mbovu iliyotokea jana usiku. Ndo changamoto ya tech hiyo na simu niliyoletewa na anko Lee ina mbwembwe nyingi.
najaribu kukirudia kibao nilichokipandisha jana. Kifupi tu nilisema, Michael Bolton mbali na kuimba anajua sana kupiga gitaa akiwa kishawahi kupiga katika band ya muziki wa Rock.
Na jamaa ni vegetarian😀
Hivi haya mafuta yanasafirishwa kutoka wapi kwenda wapi? Au ndio hayo yanayodaiwa kuibiwa huko uarabuni???1977 - Trans-Alaska pipeline yazinduliwa rasmi.
Ni moja kati ya bomba lefu zaidi Duniani linalosafirisha mafuta.
Happy Birthday Marco1989 - Marco Reus anazaliwa.
Winga mahiri wa Borussia Dortmund.
Nzuri kabisa habari yako?Hbr ya asubuhi
uzoefu muhimuNiyonzima na Ngoma mbona umri mkubwa?
Simba sajiri vijana. Hao wazee wa nini!
tuko pamojaShukraniii..
Kweli bro tumetoka mbali aisee tumekutana wote wageni humu nashukuru hapa Kp ndio pamenifanya mom kujulikana na kufahamiana na memba mbalimbali.
Tuko pamoja ila mm lika lako tu sio mkubwa ki hivyo..
Asante mwenyekitiLeo katika Historia:
Niwatakie siku njema.
Ankali za asubuhiAsante Obe
Huyu jamaa mi namuelewa sanaa
Kama kawaida mwenyekiti kabeba 200 KHivi haya mafuta yanasafirishwa kutoka wapi kwenda wapi? Au ndio hayo yanayodaiwa kuibiwa huko uarabuni???
Njema kabisa habari ya wewe?Ankali za asubuhi
ZABURI 37

Asante kwa magazeti mkuu Shululu ubarikiwe kazi yako ni njemaView attachment 516913Mpaka hapo sina la ziada tukutane tena kesho muda na wakati kama huu kwa udhamini mnono wa Mndali
Jumatano njema
