Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 21,339
- 51,884
MAMBO YANAYOFANYA VIJANA WA KARNE YA 21 WASIENDE KANISANI.
Kwa Mkono wa, Robert Heriel.
Anayeandika hapa ni kijana msomi mbobevu wa Biblia, na vitabu mbalimbali.
Mbali na hivyo ni msomi wa ngazi ya shahada. Hivyo anaandika akiwa na Uelewa wa kiwango cha juu wa kile akisemacho.
Vijana hawaendi kanisani na wala siwashauri waende.
Haiwezekani mahali pa Mungu pakose mvuto. Haiwezekani!
Yaani unafika Kanisa limezubaa!
Waumini wamezubaa!
Wahudumu wamezubaa!
Wachungaji wamezubaa!!
Yaani katika vitu sivipendi ni kuona mtu aliyezubaa zubaa, au Mazingira yaliyozubaa.
Ukiingia Kanisa lililozubaa lazima nawe uzubae. Lazima ukitoka uwe umezubaa. Upo upo tuu.
Inakuwaje watu wa Mungu wanazidiwa maarifa na Wale watumishi wa kishetani. Wengi wanafanya kazi Kwa mazoea, watu wa Shetani hawafanyi vitu Kwa mazoea,
Siku moja nimeingia Casino maarufu jijini DAR ES SALAAM huko Jamani ni Raha tuu, watu wabunifu, mazingira mazuri, Raha juu ya Raha!
Lakini upande wa makanisa mengi yaani wamezubaa, Khaa! Ubunifu sifuri.
Yaani Bora liende. Alafu Vijana wasipokuja kanisani wanatoa vitisho Kama wendawazimu,
Yaani mtu aje kanisa limezubaa ili naye azubae kisa Sijui Pepo sijui mbinguni, embu kuweni Sirius.
Kuweni wabunifu, acheni kuzabaa.
Wekeni program za kueleweka,
Alafu hizi Dini kubwa sasa Kama taasisi kubwa zimeshindwa kuyaendesha ni Bora wazibinafsishe Kwa watu watu waonyeshe ubunifu wao Kwa kufuata utaratibu wa Kidini na kiimani.
Jambo lolote lisilo na mvuto ujue halina maana yoyote.
Sio kila mtu awe mchungaji jamani!
Sio kila mtu awe mhubiri jamani!
Sio kila mtu awe Mnenaji jamani!
Hii ndio inasababisha Kanisa kuzubaa.
Unakuta mtu anapanda mimbarani Hana karama ya kuhubiri, kunena au kuzungumza mbele za watu, kazi kuzubaisha waumini na kuwafanya walale.
Kuhubiri hajui,
Kufanya-reflection hajui,
Historia ya nchi na Dunia hajui,
Kazi kuzubaisha watu na upuuzi tuu.
Ninyi mnaoenda kusomea uchungaji au mambo yote yanayohusu kusimama mbele za waumini nawasihi hakikisheni mnavipaji vya kuhutubu mbele za watu. Sio mlete mambo ya hovyo hovyo hapa.
Hakuna Jambo linakera na kuudhi mmehamasisha watu kutoa michango Kwa ajili ya mikutano, watu wamejiminya mpaka wakachanga alafu kwenye mkutano mnamleta mhubiri asiyejua kuhubiri, aliyezubaa zubaa, yaani mnazingua acheni Leo niwape vipande vyenu.
Jueni watu wanatoa pesa zao sio tuu Kwa kazi ya Mungu Bali pia na Nafsi zao zifurahia pesa zao.
Waumini ndio wateja, sasa watu wanatoa pesa alafu wewe unaenda kuwazubaisha. Pumbavu!!
Ni wakati sasa wa Dini zifanye Vetting na kuwachuja wahubiri wasioweza kuhubiri, wasio na karama za kuhubiri.
Mungu kaweka karama Kwa kazi hizo, mtu Hana karama ya kuhubiri mnampaje ahubiri?
Kisa kasomea siyo!! Embu acheni hizo!
Hivi Kama ingekuwa ni biashara yako wewe ungekubali umpandishe mhubiri asiyeweza kuhubiri katika Kanisa lako?
Nimemaliza!
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Kwa Mkono wa, Robert Heriel.
Anayeandika hapa ni kijana msomi mbobevu wa Biblia, na vitabu mbalimbali.
Mbali na hivyo ni msomi wa ngazi ya shahada. Hivyo anaandika akiwa na Uelewa wa kiwango cha juu wa kile akisemacho.
Vijana hawaendi kanisani na wala siwashauri waende.
Haiwezekani mahali pa Mungu pakose mvuto. Haiwezekani!
Yaani unafika Kanisa limezubaa!
Waumini wamezubaa!
Wahudumu wamezubaa!
Wachungaji wamezubaa!!
Yaani katika vitu sivipendi ni kuona mtu aliyezubaa zubaa, au Mazingira yaliyozubaa.
Ukiingia Kanisa lililozubaa lazima nawe uzubae. Lazima ukitoka uwe umezubaa. Upo upo tuu.
Inakuwaje watu wa Mungu wanazidiwa maarifa na Wale watumishi wa kishetani. Wengi wanafanya kazi Kwa mazoea, watu wa Shetani hawafanyi vitu Kwa mazoea,
Siku moja nimeingia Casino maarufu jijini DAR ES SALAAM huko Jamani ni Raha tuu, watu wabunifu, mazingira mazuri, Raha juu ya Raha!
Lakini upande wa makanisa mengi yaani wamezubaa, Khaa! Ubunifu sifuri.
Yaani Bora liende. Alafu Vijana wasipokuja kanisani wanatoa vitisho Kama wendawazimu,
Yaani mtu aje kanisa limezubaa ili naye azubae kisa Sijui Pepo sijui mbinguni, embu kuweni Sirius.
Kuweni wabunifu, acheni kuzabaa.
Wekeni program za kueleweka,
Alafu hizi Dini kubwa sasa Kama taasisi kubwa zimeshindwa kuyaendesha ni Bora wazibinafsishe Kwa watu watu waonyeshe ubunifu wao Kwa kufuata utaratibu wa Kidini na kiimani.
Jambo lolote lisilo na mvuto ujue halina maana yoyote.
Sio kila mtu awe mchungaji jamani!
Sio kila mtu awe mhubiri jamani!
Sio kila mtu awe Mnenaji jamani!
Hii ndio inasababisha Kanisa kuzubaa.
Unakuta mtu anapanda mimbarani Hana karama ya kuhubiri, kunena au kuzungumza mbele za watu, kazi kuzubaisha waumini na kuwafanya walale.
Kuhubiri hajui,
Kufanya-reflection hajui,
Historia ya nchi na Dunia hajui,
Kazi kuzubaisha watu na upuuzi tuu.
Ninyi mnaoenda kusomea uchungaji au mambo yote yanayohusu kusimama mbele za waumini nawasihi hakikisheni mnavipaji vya kuhutubu mbele za watu. Sio mlete mambo ya hovyo hovyo hapa.
Hakuna Jambo linakera na kuudhi mmehamasisha watu kutoa michango Kwa ajili ya mikutano, watu wamejiminya mpaka wakachanga alafu kwenye mkutano mnamleta mhubiri asiyejua kuhubiri, aliyezubaa zubaa, yaani mnazingua acheni Leo niwape vipande vyenu.
Jueni watu wanatoa pesa zao sio tuu Kwa kazi ya Mungu Bali pia na Nafsi zao zifurahia pesa zao.
Waumini ndio wateja, sasa watu wanatoa pesa alafu wewe unaenda kuwazubaisha. Pumbavu!!
Ni wakati sasa wa Dini zifanye Vetting na kuwachuja wahubiri wasioweza kuhubiri, wasio na karama za kuhubiri.
Mungu kaweka karama Kwa kazi hizo, mtu Hana karama ya kuhubiri mnampaje ahubiri?
Kisa kasomea siyo!! Embu acheni hizo!
Hivi Kama ingekuwa ni biashara yako wewe ungekubali umpandishe mhubiri asiyeweza kuhubiri katika Kanisa lako?
Nimemaliza!
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam