Elections 2010 Makamba atinga jimboni Bumbuli leo na ufanya vikao vya siri.....

Huu ni uamuzi mzuri alochukua kijana mwenzetu ingawa unakumbwa na maswali kutokana na kwamba yumo katika mfumo wa siasa ambao una "circles" zilizo na mtizamo wa kupata umaarufu na baadae kukusanya mali halafu mwisho kustaafu ukiwa hujafanya chochote kwa wananchi wako.

Tumeliona hilo kwa mgosi anaeshikilia kiti mzee Shelukindo na ushauri wangu wa bure kwa mgosi mwenzangu Januari ni kwamba endapo atapitishwa na wananchi na kuwa mbunge mpya wa Bumbuli basi awe na ofisi jimboni humo na awe anaishi Bumbuli na awe akienda Dodoma kwa shughuli za Bunge tu.

Kwa kufanya hivyo atakuwa karibu na wananchi na kufanya mambo yote ya maendeleo anayoyasema yeye akiwamo.

Nani kakuambia Januari ni Mgosi??? soma historia yake vizuri utajua....ni Mhaya kutoka kwa mama yake na hajawahi hata kuishi huko bumbuli..alipofika Bumbuli wazee walimshauri kama unavyomshauri wewe awe na makazi jimboni, alishauriwa anunue kiwanja na ajenge lakini akaleta usanii mpaka leo hajasema lolote...watu washamuona ni msanii na aliyetuma na kundi fulani...
 


Swafi sana Mkuu jibu lako ni vema tosha,

Sasa basi je kwa Tanzania hiii kunatatizo gani ambalo hao wabunge wetu waendapo bungeni wanashindwa tetea miswaada ya manufaaa ya nchi na kupitisha miswaada mibovu huko bungeni?

Vijana ambao wanao wanaia ubunge kwa ungwe hii wao wamejiandaa vipi ambao twawaita Taifa la Leo? Wameandalika vipi maana hao hao vijana wametokea UVCCM nandio hao katika mikutano yao huko kuanzia mkutano kuu wa Taifa UVCCM ni mizengwe na majungu hadi huko ngazi za mikoa,wilaya,mashina na matwi sasa hawa sioni mto yao ni nini wanataka uongozi ili watufanyie nini kama wao ndio wapiga kura ya kupitisha wajumbe kugombea ubunge na wanatuchagulia watu ilimradi mtu tu amempa gari ahakikishe ameshinda jimbo na kutandaza fitna na mizengwe?

Me ninge isifu sana UVCCM kila ilipo nchi nzima kuchagua viongozi inao waona ni swafi kwa maendeleo yao na si bora kiongozi ati umembiwa na M/kit wako kuwa fulani atatufaa sana wajua yule fulani ni mtu mzuri sana kuliko fulani hapo jua kuna chuki ndani yao hawatufai hao,

Sasa kwa J.Makamba sawa yuko huru kugombea lakini jeee yupo kwa maslahi ya Chama au Nchi? sio tu kijana anaingia bungeni kuendelea pongeza miswaada hoi kupitishwa si twatarajia kuona chachu ndani ya bunge ambalo lina vijana wakakamavu na sio wasaliti


sababu za bwana Januari kuamua kujitokeza sasa ni baada ya kusikia kwamba wanbumbuli wamemkataa baada ya kujua kwamba katumwa na hana jipya, ameleta usanii mkubwa huko kwa kwenda jimboni na kuahidi watu vitu bila kutimiza....ameahidi michango mingi alivyopita sasa hivi akiulizwa anasema yupo busy na raisi....

hili ndio tamko la wana bumbuli....
 

Attachments

  • tamko la wanabumbuli.jpg
    tamko la wanabumbuli.jpg
    68.4 KB · Views: 52
Itakua ngumu kwake kutoka kwenye kivuli cha baba ake na raisi anayefanya nae kazi kwa karibu. Hata iweje ushindi wake utaonekana ume changiwa kwa kiasi kikubwa na watu waliomzunguuka. Hato weza kuji tofautisha nao wakati huu wa kampeni kwa sababu na amini kama binadamu ata tumia advantages zote alizo nazo apate huo ubunge kwanza ndiyo mengine yafuate.

Kama aki "bahatika" kushinda ubunge hukumu yake itakua hiyo miaka mitano ata kayo kuwa nayo kuji tofautisha na kivuli kikubwa kinacho mfunika. Ita chukua muda na kazi kweli kufanya hivi. Kwa kiasi fulani naona advantages alizo nazo kama mtoto wa fulani ndizo zitakazo kuwa disadvantages zake kwenda mbele.

Uzuri ni kwamba hao ambao sasa hivi wana mkingia kifua hawata baki madarakani milele. Baba yake si raisi mstaafu kwa hiyo sidhani kama atakua na advantages za wakina mtoto wa Karume na Mwinyi pindi mzee wake Makamba aki toka madarakani. Kwa maana hiyo iwe isiwe lazima merit zake zi "kick in" at some point kwa maana bila hivyo hato fika mbali kisiasa.

So far I give him the benefit of the doubt. He seems like a smart fellow. Sitaki kumhukumu kiharaka haraka kwa sababu ya jina lake la mwisho. Ngoja tumuone kati ya sasa na kampeni ata leta nini mezani. Mtu hawezi kujificha rangi zake za kweli kwa muda mrefu.

Januari hawezi kujitenga na mzee wake na mpaka sasa tumeona ni jinsi gania anavyopata msaada wa ndani wa chama....
 
Kwani Makamba ana wake wangapi?

Mzee Makamba ana wake 3, wawili wapo mahezangulu na Mmoja (mama yake Januari) ndio anayeishi nae DSM, Mama januari hajawahi kuishi BUmbuli na ndiye mke mmdogo, hawa wengine mzee amewaacha nyumbani kijijini....
 
Akiwa Mbunge anaweza kuchaguliwa kuwa Waziri ama Naibu Waziri na akweza kufanya mabadiliko makubwa ya kuendeleza nchi katika nyanja atakayokuwemo. Yeye kuwa na Baba ambae ana cheo kikubwa isiwe sababu ya yeye kutojaribu nafasi kubwa kama kugombea ubunge. Nadhani lililomuhimu ni yeye kuonyesha ana uwezo wa kumudu nafasi anayoitaka. Ana haki sawa na mtu ambae hana mzazi ambae ni mtu mkubwa, ila si siri anakuwa under pressure ku-perform to standards. Ni kama tulivyoona Brazil wakiingia kwenye mashindano huwa anakuwa under pressure kushinda kwa sababu Baba zao (wakina Pele n.k.) waliiweka Brazil kwenye ramani ya dunia kama taifa kubwa kisoka. Namtakia kila la kheri na kutegemea ataitumikia taifa kwa moyo wa kuiendeleza nchi na sio kujiendeleza binafsi.
 
Haya ndio malalamiko ya Mh. Shelukindo juu kampeni kabla ya wakati....kama CCM hawaoni basi vyama vya upinzania wataona.....
 

Attachments

  • barua Mh.shelukindo.pdf
    688.8 KB · Views: 204
Haya ndio malalamiko ya Mh. Shelukindo juu kampeni kabla ya wakati....kama CCM hawaoni basi vyama vya upinzania wataona.....

Hivi shelukindo hana wajukuu akapumzike? au ubunge ni urithi alioachiwa??!!!!!!!!
 
Hotuba ya Mbayuwayu wa the worst speech ever..

Sijawahi kuona hotuba nzuri ambayo imetoka magogoni kuanzia 2005,kama ipo naomba mnipe..

1​
lky\1970\lky0905b.doc​
PRESIDENT JULIUS NYERERE’S SPEECH AT THE
DINNER IN HONOUR OF MR. LEE KUAN YEW,
PRIME MINISTER OF SINGAPORE, ON
5TH SEPTEMBER, 1970​
Mr. Prime Minister, Your Excellencies,
Ladies and Gentlemen :
It gives me very great pleasure to welcome an old friend to
Tanzania. For although Mr. Lee Kuan Yew was not Prime Minister of the
independent state of Singapore when he last came to Dar-es-Salaam, we
did have an opportunity then to understand his commitment to unity among
under- developed countries. In addition, some of us had the opportunity of
meeting Mr. Lee Kuan Yew at the last Commonwealth Conference, where
his outstanding ability and devastating frankness made him a valuable ally
and friend but a very dangerous opponent. These things, Mr. Prime
Minister, made me very glad that Singapore and Tanzania usually found
themselves on the same side when the Conference was discussing
international affairs.​
2​
lky\1970\lky0905b.doc​
But it is not only because of respect for the Singapore leaders we
have met that I am happy the Prime Minister and his colleagues have come
to Tanzania on their way to Lusaka. For the fact is that we in this country
need to know more about developments in Singapore. Of course, we can
read the reference books. We can learn that about 2 million people live
on 225 square miles - which means a density of well over 8,000 people to
the square mile in Singapore, as aginst about 36 to the square mile in
Tanzania. We can learn, Mr. Prime Minister, that your country has the fifth
largest port in the world judging by the amount of goods passing through
it. We can understand - and envy - your very large provision of higher
educational activities ; we can understand the unemployment problems of a
state where rapid population increase cannot be met by calling for
expanded agriculture. And we can see that industrialisation is a matter of
human survival in your country, not just a question of balancing the
economy and laying the foundation for future prosperity - as it is with us.
But these and other facts only raise questions in our minds. They do
not answer very many. For you, Mr. Prime Minister, are known to be a
socialist, and you lead the People’s Action Party - a sociality party. We
therefore want to know how you are tackling the capitalist industrial
complex your government inherited , and how you deal with the problems​
3​
lky\1970\lky0905b.doc​
of socialist management of industry. Indeed, with a population density like
that of Singapore, and the problems arising from rapid economic growth,
we want to know how your Government and Party cope with the basic
questions of ensuring human dignity for all your citizens.
Let me hasten to add, Mr. Prime Minister, that I do not expect you
to answer all these questions this evening! But our desire to hear from you
on these matters does not arise out of simple curiosity. Tazania’s
problems are very different from those of Singapore, because our
inheritance and our geographic and economic circumstances are very
different. Yet we believe that socialists must learn from each other if they
are to avoid unnecessary errors and achieve the maximum speed of
advance. And we do have the need to establish an industrial sector of our
economy ; otherwise, for all our natural resources, we shall remain with a
degree of poverty that makes Singapore look almost rich by comparision.
Therefore, we want to know in order to learn from your country.
There is , of course, the further factor that greater knowledge of
each other, and greater understanding of our different roads to socialism,
might well reveal areas of possible co- operation between our two
countries, especially, perhaps, as regards trade.​
4​
lky\1970\lky0905b.doc​
All these matters will come out for discussion during your visit, Mr.
Prime Minister. I suspect there will be a further subject too - world
problems as seen from East Africa, and as seen from South East Asia .
This too can be a fruitful discussion. For althiough our priorities of
concern are naturally different, both our governments are nationalist as
well as socialist. The people of Singapore, as well as those of Tanzania,
have experienced racial discrimination and the indignities of colonialism.
Further, both our governments recognise that only through unity will the
peoples of the Third World be able to defend their independence or
overcome their economic backwardness.
Thus, Tanzania’s priority concern with the problems of Southern
Africa and the need to give support to the freedom movements of that area,
I know, receive the full understanding and the co-operation of Singapore.
Southern Africa represents the ‘ unfinished business’ of the African
revolution. Our young states cannot concentrate on the problems of
developing in freedom, while this colonial and racial domination continues
on our continent.​
5​
lky\1970\lky0905b.doc​
Mr. Prime Minister : It is not really my task tonight to announce the
agenda for our discussions. Nor do I wish to make a speech at you - I
would rather listen to you. Let me conclude, therfore, by repeating our
hope that your short stay with us will be beneficial to our respective
peoples, and enjoyable to you and your colleagues.
I therefore ask you, your Excellencies, Ladies and Gentlemen, to
join me in a toast to our guest, Mr. Lee Kuan Yew, and his colleagues, and​
to the President, Government, and People of Singapore.
Zama hizi, hotuba zilikuwa zimetulia unakimbia kwenda kusikiliza kwenye 'dudu proof ' kako.
 
Nimependa umaliziai wa malalamiko ya Mh She-Lukindo:

"8. Sitaandika tena, haya ni maadishi yangu ya mwisho kuhusu yanayofanyika Bumbuli na naona ni vyema ngazi za juu zielewe hii"

BTW: Mimi sio shabiki wa Januari na wala simfahamu - lakini - huyu Mzee kwa maoni yangu nadhani ingependeza awapishe vijana nao waonyesha wanaweza kufanya nini - Inaonekana kama ana-ubia na Jimbo la uchanguzi la Bumbuli!
 
:lie:Huyu mzee mcharuko tu, wakati anaomba kura 2005 alisema hataki tena ubunge 2010 sasa anapiga kelele ya nini wakati huu ndio 2010 aliosema hagombei? Amuachie kijana akamate jimbo kwani muda wake umeisha na hakuna alicho fanya, miaka 25 nothing, hebu asepe mazeya ebooooo.
 
Mzee wa watu Shelukindo ataishia kulalamika tu...koz nilisoma thread flani hapa JF kuwa baba na mama wa january makamba wanamsapport Januari kwa anayoyafanya. Na wanamsaidia koz they both know kuwa januari hana uwezo wa kuwa Kiongozi....thus y anapata support kutoka kwa waliomzaa na further more baba yake ndo katibu wa CCM Taifa So unategemea nini hapo??? Kuwa Baba atamuadabisha mwana???? Tusubiri tuone
 
Sadly money is always the motive. Any young and talented Tanzanian wants to make money and live a comfortable life where all his/her needs are met plus most if not all of his/her wants. There is no young person who wants to go in a sector where there is no chance for growth and an opportunity to make a lot of money.

Since now politics seems like the most lucrative "sector" in the nation that's where all the young minds are going when given the chance. It is true we need young leaders be it in the private sector, public sector or politics. But I fear that most of my fellow young men and women are going into politics for all the wrong reasons.

I can't deny that my old man has been a very big influence in my life and growing up I have always wanted to be like him if not better than him. I think it's a something every son will admit to. The phrase "like father like son" is very common especially to those of us who grew up close to our fathers. What we forget is that we share genes with both the father and the mother. Thus while most of us sons would love and hope to inherit the talents of our fathers that is not necessarily the case.

So I urge my fellow youngsters not to take the phrase "following in daddy's footsteps" to seriously. As young men we should strive to create our own paths. If we are lucky enough to inherit the gifts and talents of our fathers then it's all good and well. If our talents lie elsewhere then that's where we should be. Sadly however, some young men are even following in the footsteps of their very UNtalented and UNgifted parents who also ventured in fields they were neither born or prepared for.
 
Itakua ngumu kwake kutoka kwenye kivuli cha baba ake na raisi anayefanya nae kazi kwa karibu. Hata iweje ushindi wake utaonekana ume changiwa kwa kiasi kikubwa na watu waliomzunguuka. Hato weza kuji tofautisha nao wakati huu wa kampeni kwa sababu na amini kama binadamu ata tumia advantages zote alizo nazo apate huo ubunge kwanza ndiyo mengine yafuate.

Kama aki "bahatika" kushinda ubunge hukumu yake itakua hiyo miaka mitano ata kayo kuwa nayo kuji tofautisha na kivuli kikubwa kinacho mfunika. Ita chukua muda na kazi kweli kufanya hivi. Kwa kiasi fulani naona advantages alizo nazo kama mtoto wa fulani ndizo zitakazo kuwa disadvantages zake kwenda mbele.

Uzuri ni kwamba hao ambao sasa hivi wana mkingia kifua hawata baki madarakani milele. Baba yake si raisi mstaafu kwa hiyo sidhani kama atakua na advantages za wakina mtoto wa Karume na Mwinyi pindi mzee wake Makamba aki toka madarakani. Kwa maana hiyo iwe isiwe lazima merit zake zi "kick in" at some point kwa maana bila hivyo hato fika mbali kisiasa.

So far I give him the benefit of the doubt. He seems like a smart fellow. Sitaki kumhukumu kiharaka haraka kwa sababu ya jina lake la mwisho. Ngoja tumuone kati ya sasa na kampeni ata leta nini mezani. Mtu hawezi kujificha rangi zake za kweli kwa muda mrefu.

What wise words! Naamini amekusoma maana ni kweli tunataka leaders, sio watu kurithishana uongozi kama tuko kwenye utawala wa machief miaka ileee
 
The Kid has put a book that outlines nia na misingi yake ya kugombea ubunge, I dont think anybody has done anything close to this in Bongo. Instead of folks at least be happy on this transformational act towards evidence based policies--and at least showing seriousness to transform politics hapa nyumbani--at his age. Wabongo wanakandia. Now, why don't you guys go back home and DO SOMETHING instead of sitting on your computers and have baseless hating. Ofcourse there are folks who will not agree on him, but you have to acknowledge the seriousness. Read the damn book, the point out what you disagree.

Oooh and if you think Mzee Shelukindo or upinzani will be a better mbunge than him--then please show us at least the initiatives they have taken. And remember the incumbent has already spent 10 years as a mbunge. The kid has attempted to conduct a thorough research the jimbo, outlined the problem--offered solutions and put them in a book for everyone to read. And folks in JF still do not acknowledge that. I thought that is a progressive things and this platform applauds innovations in politics that will move us forward. I know few ****** will come with counter arguments from this post. Go ahead, but your consciouses zitawasuta. You can't give me a reason not to applaud his initiatives as of now. Time will tell. Remember, you can't change a sh!t sitting on your computers, then go and pay taxes to some foreign government. Come out here--work, see the people, learn and offer your contributions even if in a small way. Changes in Tanzania won't come by offering baseless (at times untrue) attacks on the internet or by cheerleading populist political tone. The issues towards maendeleo are complex, and needs deep understanding of policies and how international world works with a steel spine. If it was easy we are could be developed now. You really wanna fight ufisadi? Come out here and do something about it. And not shouting profanities on JF, which will create hate and animosity more than solving problems.
 
mi nimewasoma watu hapa, sijaamini macho yangu!!
simple minds tu hakuna lolote!!
kama ni kijana mwenye akili, kwa nnini anakimbilia siasa? Tutamtenganisha vipi na bab yake na wote wanaomzunguka kwenye meza wakati wa chakula cha jioni?

kwa kijana yeyote mwenye akili, nategemea nione anaanzisha kampuni, ambayo siyo ya kifisadi, innovative business, then anatoa ajira kwa growing brains (vijana)........at the same time, biashara hiyo, inatoa huduma kwa jamii!! (sio biashara ya kukusanya ushuru Ubungo lakini - coz, that is shyt business, huwezi kuwa kijna alafu unakuwa na biashara kama ile)

Pal;

yaani hapo ndipo na mimi nimechoka kabisa... i really dont know what is driving January kwenda kujiunga na ze komedi!!! he will jsu end up bang-bang ze table and stand up kutoa already choreographed verses etc.

nasikitika mtu anaacha kazi nzito kwenda kufuata seating allowance... LABDA AMESHAAMBIWA KWAMBA HANA CHANCE PALE IKULU SO HE HAS NO CHOICE
 
Tatizo Shelukindo naona jimbo kama vile ni mali yake na Januari anatumia ubavu wa baba yake....wote hawafai kuwaongoza wananchi wa bumbuli...
 
Back
Top Bottom