Chademakwanza
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 6,346
- 1,873
Na kwenye Ma-CCM juna Vibaka, mafisadi, Shetani, etc
Ccm kuna Waganga mpaka wakienyeji Mkuu wale fisi kiubinadamu tunawaona fisi wao wanajua ni nini
Na kwenye Ma-CCM juna Vibaka, mafisadi, Shetani, etc
Sioni siri yeyote iliyotobolewa hapo
Hahaha Molemo na mwaka huu utakuwa mgumu sana kwao manake hakuna tena wale vibaraka wao wachumia tumbo waliokuwa wanawahonga .... tutawatandika kweli sio utani! Ndio maana wanatamani kusitisha daftari la kudumu manake wanajua ambavyo vijana wengi tuna hasira nao!
Siku zao ni chache mno na zinahesabika... Tuombeane uzima ili tufike wote nchi ya ahadi
Sioni siri yeyote iliyotobolewa hapo
Makaidi atapata kura za kutosha Masasi! Na Ukawa kwamba wameshamaliza mchakato wa kumpata mgombea uraisi Ni habari njema Sana!
Ndio huyu hapo chiniRudi kwanza kwenye ubinadamu ndio utaona jivue ufisi
Hapo ametoboa siri gani?
Sioni siri yeyote iliyotobolewa hapo
Ndio huyu hapo chini
Sioni siri yeyote iliyotobolewa hapo
Hapo Mgombea ni MMoja tu Makongoro wengine wacheza show wake kwenye Bendi yake Vibaka Jazz Band
Ushalipwa mafao yako Lumumba? mwisho wenu Oktoba,...
Sasa mbona magazeti walisema UKAWA hakukaliki? Ooo urais unaigawa UKAWA Sasa itakuwaje jamani ccm hoye!
Huu ni ukweli mchungu kweli kweli kumeza ila ndio ukweli wenyewe, rais wa 2015 ni kutoka CCM!, either kupitia CCM, Ukawa or ACT, ikulu yetu ni ya mtu mmoja tuu, "the one and only!".Rais wa mwaka huu atatoka CCM!!
Sijasema atashinda wa CCM, ila atatoka huko.
Watch this space.