Makaidi atoboa siri urais UKAWA

Makaidi atoboa siri urais UKAWA

Ukuwa haina papara na hatutaweza kuweweseka na hao mafisadi waotaka Urais kwa Urahis
 
UKAWA ipo Imara zaidi ya magamba waijuavyo tumuombe Mungu uzima tu atufikishe Octoba historia mpya na nzuri inakwenda kutokea Tanzania
 
Makaidi ameonyesha bado Ukawa hautetereki.....
Go go go Ukawa...Tumaini la watanzania
 
Hueleweki

Atakuwa anamaanisha wataiba kura za UKAWA ... manake kuna tofauti kati ya kutoka na kushinda kamanda Shark .. ila waliiba za dr uchaguzi uliopita wanafikiri wataweza kuiba tena mwaka huu.... safari hii tutawalinda wezi mpaka tone la mwisho
 
Last edited by a moderator:
Atakuwa anamaanisha wataiba kura za UKAWA ... manake kuna tofauti kati ya kutoka na kushinda kamanda Shark .. ila waliiba za dr uchaguzi uliopita wanafikiri wataweza kuiba tena mwaka huu.... safari hii tutawalinda wezi mpaka tone la mwisho
Na ndio maana hawataki tuimarishe Red Brigade
 
Last edited by a moderator:
sasa kazi ya kuizika CCM rasmi imeanza...

Si kidogo mkuu ccm ishazikwa sasa wanarusharusha miguu kufariki rasmi oct, na wakat wanarusha miguu Watz tuwe makin sana maana unaweza kupatwa na hilo teke ukazimia kbs.
 
Atakuwa anamaanisha wataiba kura za UKAWA ... manake kuna tofauti kati ya kutoka na kushinda kamanda Shark .. ila waliiba za dr uchaguzi uliopita wanafikiri wataweza kuiba tena mwaka huu.... safari hii tutawalinda wezi mpaka tone la mwisho

sweetlady

Wanapaswa kufahamu kwamba kila Kata nchi hii tuna Red Brigade 200.Wasitarajie kuiba hata kura moja.Tutawacharaza bakora kama mbwa koko.Mimi binafsi nitaongoza vikosi vya RB katani kwangu.
 
Last edited by a moderator:
Mie nangoja kujiandikisha japo NEC wanaficha ratiba hapa Mwanza ila m/kiti wangu wa mtaa kapambana mpaka ratiba kaipata
 
Makaidi ameonyesha bado Ukawa hautetereki.....
Go go go Ukawa...Tumaini la watanzania[/QU


Ccm wakisikia hivyo wanapigana vikumbo kutaka kuiua UKAWA .... oct lazima tuandike historia mpya kabisa... Mungu ibariki UKAWA na viongozi wake
 
Sasa mbona magazeti walisema UKAWA hakukaliki? Ooo urais unaigawa UKAWA Sasa itakuwaje jamani ccm hoye!

Hizo ni propaganda za maccm tu na hao waandishi wa habar kununuliwa ila ukwl wanaujua mkuu UKAWA ni mlto wa kutoetea mbali na tunaenda kushika Nchi hii oct.
 
Kheri kwako makaidi kamanda wetu.umekata mzizi wa fitina.maadui watahangaika usiku kucha.

Mungu ubariki UKAWA...
MUNGU IBARIKI TANZANIA
 
sweetlady

Wanapaswa kufahamu kwamba kila Kata nchi hii tuna Red Brigade 200.Wasitarajie kuiba hata kura moja.Tutawacharaza bakora kama mbwa koko.Mimi binafsi nitaongoza vikosi vya RB katani kwangu.

Hahaha Molemo na mwaka huu utakuwa mgumu sana kwao manake hakuna tena wale vibaraka wao wachumia tumbo waliokuwa wanawahonga .... tutawatandika kweli sio utani! Ndio maana wanatamani kusitisha daftari la kudumu manake wanajua ambavyo vijana wengi tuna hasira nao!

Siku zao ni chache mno na zinahesabika... Tuombeane uzima ili tufike wote nchi ya ahadi
 
Last edited by a moderator:
Makaidi atapata kura za kutosha Masasi! Na Ukawa kwamba wameshamaliza mchakato wa kumpata mgombea uraisi Ni habari njema Sana!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom