kweli mkuu Ngoja nieendelee kujifunza(Mungu ni Msiri) sana.
Mkuu nimecheka sanaView attachment 1217091
Then mtu anasema binadamu wote ni sawa hapana bwana, labda tukishafika mbinguni ...duh
Sikuwahi fikiria hii.. ni ndogo ila fikirishi sana.. haiwezi pata uzi hii mkuu.. naona nondo kabisa hapa na elimu.Hata mbinguni kuna madaraja... Ndio maana shetani alikuwa na cheo cha malaika mkuu
Mkuu hatuwezi pata mifano ya vita hizi kwa hawa watu na majeshi, Marais n.k maana huku mtaani hizi vita hadi tushazizoea.Vita ya heshima, visasi na ubabe huwa haiishi mpaka kifo... Kwahiyo adui wa kibiashara anaweza kuja kwenye nyumba ya kaburi lako akafanya ushenzi... Ama akatumia mwanya wa kuwafanyia kitu kibaya jamaa zako na ndugu zako watakaokuja kukutembelea
The Cocaine Godmother.. acha kabisa huyu mama.Huyo mwanamama wa kuitwa Giselda Blanco alikuwa mafia balaa sana
Tatizo serikali zinawadekeza au aidha kuna kitu serikali inakipata kwa watu.
Naamini kama serikali zingekuwa thabiti na kufanya maamuzi hawa wapuuzi wasingekuwepo katika uso wa dunia yaani dakika chache tu.
The Cocaine Godmother.. acha kabisa huyu mama.
Sina akili kabisa mimi.Wewe unaita madon wapuuzi ..una akili kabisa wewe
ndiyo manaSina akili kabisa mimi.
Hii ndio orodha ya top five ya wazungu wa unga waliovuma zaidi.
1. Joaquin Guzman (JO)
2. Pablo Escober 1949- 1993
3. Frank Lucas 1930- 2019
4. Ismai Zambaga Garcia
5. Amado Carrilo Fueten
Halafu kuna mwanamama pekee Griselda Blanco.
Nitaiangalia hii makituMshana Jr,
Asante kwa makala nzuri. Mie ni mpenzi wa kusoma habari za hawa MAFIA tangu nipewe story kuhusu kitabu cha THE GODFATHER cha Mario Puzo.
Katika wote ulioandika, nilikuja kushangaa sana kusoma Story ya FRANK LUCAS.
Hii ilikuwa baada ya kuangalia film ya AMERICAN GANGSTER aliyocheza Denzel WASHINGSTON.
Frank kwanza alikuwa ni Mtu Mweusi. Ni mmoja ya watu wachache duniani aliyewasaliti MAFIA na akaendelea kuishi kwa miaka mingi bila ya kuuawa. Huyu aliwachomea Mafia na wakakamatwa wengi na kufungwa.
Jamaa alileta unga kwenye majeneza ya Askari wa USA waliokufa Vietnam kwenye vita.
Sijui nimwite alikuwa na BAHATI au alikuwa na akili sana.
Kama Mtu hajaiona hii film basi ni vema kuiangalia.
View attachment 1235113
FRANK LUCAS katika ubora wake.
View attachment 1235114
View attachment 1235115
Denzel Washington akicheza kama FRANK LUCAS.
BTW: Sikujua kuwa Frank ameshafariki. Habari ilinipita kushoto.
Yeah asante sana halafu mshkaji kafa mwaka huu yani bado wa moto huko kaburini hata minyoo haijamaliza ndafuMshana Jr,
Asante kwa makala nzuri. Mie ni mpenzi wa kusoma habari za hawa MAFIA tangu nipewe story kuhusu kitabu cha THE GODFATHER cha Mario Puzo.
Katika wote ulioandika, nilikuja kushangaa sana kusoma Story ya FRANK LUCAS.
Hii ilikuwa baada ya kuangalia film ya AMERICAN GANGSTER aliyocheza Denzel WASHINGSTON.
Frank kwanza alikuwa ni Mtu Mweusi. Ni mmoja ya watu wachache duniani aliyewasaliti MAFIA na akaendelea kuishi kwa miaka mingi bila ya kuuawa. Huyu aliwachomea Mafia na wakakamatwa wengi na kufungwa.
Jamaa alileta unga kwenye majeneza ya Askari wa USA waliokufa Vietnam kwenye vita.
Sijui nimwite alikuwa na BAHATI au alikuwa na akili sana.
Kama Mtu hajaiona hii film basi ni vema kuiangalia.
View attachment 1235113
FRANK LUCAS katika ubora wake.
View attachment 1235114
View attachment 1235115
Denzel Washington akicheza kama FRANK LUCAS.
BTW: Sikujua kuwa Frank ameshafariki. Habari ilinipita kushoto.