Hapa ndipo walipolala real hustlers achana na sisi watumishi wa umma mpaka tunazeeka hatuna mahali pa kuishi!Tayari... Na hizi ni baadhi ya picha... Hapa ni makaburi maarufu ya wazungu wa unga.. Hili eneo linajulikana kama Jardines Del Humaya cemetery... Ukiangalia ni kama Kijiji cha makanisha kumbe ni makaburi... Yaliyofutika wababe na wauaji View attachment 1217086
Haya ni makaburi ya wanyonge!View attachment 1217091
Then mtu anasema binadamu wote ni sawa hapana bwana, labda tulishafika mbinguni ...duh
Haya ndyo makaburi ya wanaume!
Mimi napenda border security ya Australia ni hatari aseee.
Mbona wanavujisha siri sasa
Maana nimewaza kijinga nilitaka kwenda kuishi huko najichagulia moja kama ya PabloHimaya zao wanazoacha chini ya wanahimaya wengine