Kanungila Karim
JF-Expert Member
- Apr 29, 2016
- 20,744
- 25,446
Ameacha watoto?Huyo mwanamama wa kuitwa Giselda Blanco alikuwa mafia balaa sana
Ameacha watoto?Huyo mwanamama wa kuitwa Giselda Blanco alikuwa mafia balaa sana
View attachment 1217091
Then mtu anasema binadamu wote ni sawa hapana bwana, labda tulishafika mbinguni ...duh
Noma sana, majama wanajua kufatilia kesi aisee.
hapa unaweza kuona mambo ya ma don
Huu ndo upelelezi unaendeleaNoma sana, majama wanajua kufatilia kesi aisee.
watoto wake waliuliwa,ila yupo mmoja wa mwisho wa kiume,ndo alie survive mpaka leoAmeacha watoto?
Wapinzani wa Pablo walikuwa Cali Brothers from Cali Cartel wakisaidiwa na Los PepesPablo alikuwa Mcolombia, halafu kwanini umemuweka nafasi ya pili baada ya namba moja!?
Drug Lords eti huwa wanatumia mpaka ndege za mashirika ya kijasusi kama CIA.Katika wimbo wa The Black Eyed Peace-Street Livin' Kuna mstari jamaa anasema "CIA planes brings Colombian drugs."Maisha yao mafupi
Miguel Rodriguez na Rafael caro hao walikuwa wanasafirisha bangi kutoka mexico kwenda marekani, Ina aminika bangi ya mexico ni bora sana na ilikuwa na soko zuri nchini marekani. Sasa Miguel hakaona fursa kwa soko la cocaine ichini marekani akasafiri mpaka Colombia akakutana na Pablo hakaanza Ku push cocaine akaachana na bangi.@ Mshana Jr Mexico kuna mwanzilishi anaitwa Miguel Rodriguez akiwa pamoja na Rafael Caro Quientero ..story yao ipo interested Mkuu
Nimeicheki mpaka mwisho aisee kweli huo ndo upelelezi unaendelea mkuu hahaHuu ndo upelelezi unaendelea
Hawa ndo the Guadalajara cartel mzee...@ Mshana Jr Mexico kuna mwanzilishi anaitwa Miguel Rodriguez akiwa pamoja na Rafael Caro Quientero ..story yao ipo interested Mkuu
Namba sikumbuki kwakweli labda nikirud home ila ndio channel yangu pendwa hiyo ya CBS REALITY_DSTV
Duhwatoto wake waliuliwa,ila yupo mmoja wa mwisho wa kiume,ndo alie survive mpaka leo