Makaburi ya Ma-Don na wauza unga wa Mexico

Maisha yao mafupi
Drug Lords eti huwa wanatumia mpaka ndege za mashirika ya kijasusi kama CIA.Katika wimbo wa The Black Eyed Peace-Street Livin' Kuna mstari jamaa anasema "CIA planes brings Colombian drugs."

Ndiyo maana haya mambo hayaishi.
 
@ Mshana Jr Mexico kuna mwanzilishi anaitwa Miguel Rodriguez akiwa pamoja na Rafael Caro Quientero ..story yao ipo interested Mkuu
 
@ Mshana Jr Mexico kuna mwanzilishi anaitwa Miguel Rodriguez akiwa pamoja na Rafael Caro Quientero ..story yao ipo interested Mkuu
Miguel Rodriguez na Rafael caro hao walikuwa wanasafirisha bangi kutoka mexico kwenda marekani, Ina aminika bangi ya mexico ni bora sana na ilikuwa na soko zuri nchini marekani. Sasa Miguel hakaona fursa kwa soko la cocaine ichini marekani akasafiri mpaka Colombia akakutana na Pablo hakaanza Ku push cocaine akaachana na bangi.
 
Hao jamaa hata Jela zao huko Colombia, Panama, Mexico, Peru sio mchezo Kule akikamatwa drug dealer mmoja anaenda na walinzi wake Jela na bunduki, pesa, unga na kila kitu Kule Jela Kuna kila starehe wanawake, bangi, unga, pombe Yan kila kitu sema huwez kutoka nje Ila simu yako inakuwa nayo Kule jamaa ndo wanamiliki kila kitu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom