TAJIRI MKUU WA MATAJIRI

JF-Expert Member
Dec 1, 2010
5,718
10,214
Dar es Salaam. Makaburi zaidi ya 600 yaliyopo katika kata ya Kipunguni yanatarajiwa kuhamishwa ili kupisha upanuzi wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere (JNIA).

Mchakato wa kuhamisha makaburi hayo unafuatia mpango wa ulipaji fidia kwa wakazi 1,865 wa eneo hilo wanaotakiwa kuhama kupisha upanuzi wa uwanja huo.
Akizungumzia mchakato huo, Ofisa Afya Mkuu Jiji la Dar es Salaam, Salim Musya alisema serikali inaendelea na utaratibu wa kulipa fidia kwa wakazi hao mpango unaosimamiwa na Mamlaka ya Anga Tanzania (TAA).

----
"Katika eneo hili ambalo wakazi hawa wanatakiwa kupisha kuna sehemu nane za makaburi ya familia na makaburi ya jumuiya zikiwa sehemu mbili," amesema.

Mwinjuma Seke ambaye ni Mwenyekiti Mtaa wa Kipunguni amesema ili kufanikisha zoezi hilo wametoa miezi mitatu kwa ndugu kujiandikisha.

"Zoezi hili litakamilika rasmi Desemba 1, 2023," amesema Seke.

Ramadhani Kinyaiya ambaye ni Mwenyekiti wa Mtaa wa Mwanagati sehemu ambako makaburi hayo yatahamishiwa amesema tayari wameshaanza kufanya usafi kwa ajili kuandaa eneo la kuzikia watu hao.

Hii inakuwa ni mara ya pili Mwanagati kupokea makaburi yanayohamishwa ikiwa ni baada ya kupokea makaburi mengine 378 kutoka Vingunguti.

Akizungumzia suala hilo, Mohammed Abdallah ambaye ni moja ya watu waliozika ndugu katika makaburi ya Kipunguni Mashariki amesema wamepokea suala hilo kwa mikono miwili.

Daud Peter ambaye ni Mkazi wa Kipunguni pia amesema anasikitishwa na hatua hiyo lakini ni hatua nzuri.
"Mchakato hatujaukataa tumeupokea kiroho safi,"

Eneo hilo 1995 lilitangaza kufanyiwa tathmini ya kwanza ili wananchi walipwe fidia lakini haikufanikiwa hadi tathmini nyingine ilipofanyika mwaka huu.

Mshana Jr kuna chochote tunaweza kubeba cha kutufaa?
 
Dar es Salaam. Makaburi zaidi ya 600 yaliyopo katika kata ya Kipunguni yanatarajiwa kuhamishwa ili kupisha upanuzi wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere (JNIA).

Mchakato wa kuhamisha makaburi hayo unafuatia mpango wa ulipaji fidia kwa wakazi 1,865 wa eneo hilo wanaotakiwa kuhama kupisha upanuzi wa uwanja huo.
Akizungumzia mchakato huo, Ofisa Afya Mkuu Jiji la Dar es Salaam, Salim Musya alisema serikali inaendelea na utaratibu wa kulipa fidia kwa wakazi hao mpango unaosimamiwa na Mamlaka ya Anga Tanzania (TAA).

Makamba: China inaongoza kwa ukubwa wa biashara kati yake na Tanzania
"Katika eneo hili ambalo wakazi hawa wanatakiwa kupisha kuna sehemu nane za makaburi ya familia na makaburi ya jumuiya zikiwa sehemu mbili," amesema.
Mwinjuma Seke ambaye ni Mwenyekiti Mtaa wa Kipunguni amesema ili kufanikisha zoezi hilo wametoa miezi mitatu kwa ndugu kujiandikisha.
"Zoezi hili litakamilika rasmi Desemba 1, 2023," amesema Seke.
Ramadhani Kinyaiya ambaye ni Mwenyekiti wa Mtaa wa Mwanagati sehemu ambako makaburi hayo yatahamishiwa amesema tayari wameshaanza kufanya usafi kwa ajili kuandaa eneo la kuzikia watu hao.
Hii inakuwa ni mara ya pili Mwanagati kupokea makaburi yanayohamishwa ikiwa ni baada ya kupokea makaburi mengine 378 kutoka Vingunguti.
Akizungumzia suala hilo, Mohammed Abdallah ambaye ni moja ya watu waliozika ndugu katika makaburi ya Kipunguni Mashariki amesema wamepokea suala hilo kwa mikono miwili.
Daud Peter ambaye ni Mkazi wa Kipunguni pia amesema anasikitishwa na hatua hiyo lakini ni hatua nzuri.
"Mchakato hatujaukataa tumeupokea kiroho safi,"
Eneo hilo 1995 lilitangaza kufanyiwa tathmini ya kwanza ili wananchi walipwe fidia lakini haikufanikiwa hadi tathmini nyingine ilipofanyika mwaka huu.

Mshana Jr kuna chochote tunaweza kubeba cha kutufaa?
Bwana Mshana Jr hana la kusema ila fate ya wote ni hii in this cartoon. Kwa vile tunaogopa kufa, ndipo zinkuja story za ufufuko siku ya mwisho, hamisha remains za dead people etc etc......matumaini yasiyokuwepo in science...
1695781462728.png
 
Dar es Salaam. Makaburi zaidi ya 600 yaliyopo katika kata ya Kipunguni yanatarajiwa kuhamishwa ili kupisha upanuzi wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere (JNIA).

Mchakato wa kuhamisha makaburi hayo unafuatia mpango wa ulipaji fidia kwa wakazi 1,865 wa eneo hilo wanaotakiwa kuhama kupisha upanuzi wa uwanja huo.
Akizungumzia mchakato huo, Ofisa Afya Mkuu Jiji la Dar es Salaam, Salim Musya alisema serikali inaendelea na utaratibu wa kulipa fidia kwa wakazi hao mpango unaosimamiwa na Mamlaka ya Anga Tanzania (TAA).

https://www.mwananchi.co.tz/mw/haba...bwa-wa-biashara-kati-yake-na-tanzania-4381526
"Katika eneo hili ambalo wakazi hawa wanatakiwa kupisha kuna sehemu nane za makaburi ya familia na makaburi ya jumuiya zikiwa sehemu mbili," amesema.
Mwinjuma Seke ambaye ni Mwenyekiti Mtaa wa Kipunguni amesema ili kufanikisha zoezi hilo wametoa miezi mitatu kwa ndugu kujiandikisha.
"Zoezi hili litakamilika rasmi Desemba 1, 2023," amesema Seke.
Ramadhani Kinyaiya ambaye ni Mwenyekiti wa Mtaa wa Mwanagati sehemu ambako makaburi hayo yatahamishiwa amesema tayari wameshaanza kufanya usafi kwa ajili kuandaa eneo la kuzikia watu hao.
Hii inakuwa ni mara ya pili Mwanagati kupokea makaburi yanayohamishwa ikiwa ni baada ya kupokea makaburi mengine 378 kutoka Vingunguti.
Akizungumzia suala hilo, Mohammed Abdallah ambaye ni moja ya watu waliozika ndugu katika makaburi ya Kipunguni Mashariki amesema wamepokea suala hilo kwa mikono miwili.
Daud Peter ambaye ni Mkazi wa Kipunguni pia amesema anasikitishwa na hatua hiyo lakini ni hatua nzuri.
"Mchakato hatujaukataa tumeupokea kiroho safi,"
Eneo hilo 1995 lilitangaza kufanyiwa tathmini ya kwanza ili wananchi walipwe fidia lakini haikufanikiwa hadi tathmini nyingine ilipofanyika mwaka huu.

Mshana Jr kuna chochote tunaweza kubeba cha kutufaa?
Kuna yale makaburi ya wafu wa ajali na yale makaburi ya waliokufa kwenye ugomvi hasa kuchinjwa
Makaburi ya vifo vya visasi pia au makaburi ya watoto wachanga
Chochote utakachopata toka kwenye makaburi tajwa kinafaa kuwa malighafi kwenye ulimwengu wa giza

BTW wamakinike na hilo zoezi.. Wafu huwa hawapendi usumbufu wala kuingiliwa kwenye makazi yao bila ridhaa
Ni muhimu zifanyike ibada na mambo ya kimila kuwaomba marehemu wahamishwe kwenda sehemu nyingine

Fidia itakayotoka wapewe wahusika bila makato na bila mapunjo.. Pesa ya marehemu ina kisirani na nuksi mbaya sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dar es Salaam. Makaburi zaidi ya 600 yaliyopo katika kata ya Kipunguni yanatarajiwa kuhamishwa ili kupisha upanuzi wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere (JNIA).

Mchakato wa kuhamisha makaburi hayo unafuatia mpango wa ulipaji fidia kwa wakazi 1,865 wa eneo hilo wanaotakiwa kuhama kupisha upanuzi wa uwanja huo.
Akizungumzia mchakato huo, Ofisa Afya Mkuu Jiji la Dar es Salaam, Salim Musya alisema serikali inaendelea na utaratibu wa kulipa fidia kwa wakazi hao mpango unaosimamiwa na Mamlaka ya Anga Tanzania (TAA).

Makamba: China inaongoza kwa ukubwa wa biashara kati yake na Tanzania
"Katika eneo hili ambalo wakazi hawa wanatakiwa kupisha kuna sehemu nane za makaburi ya familia na makaburi ya jumuiya zikiwa sehemu mbili," amesema.
Mwinjuma Seke ambaye ni Mwenyekiti Mtaa wa Kipunguni amesema ili kufanikisha zoezi hilo wametoa miezi mitatu kwa ndugu kujiandikisha.
"Zoezi hili litakamilika rasmi Desemba 1, 2023," amesema Seke.
Ramadhani Kinyaiya ambaye ni Mwenyekiti wa Mtaa wa Mwanagati sehemu ambako makaburi hayo yatahamishiwa amesema tayari wameshaanza kufanya usafi kwa ajili kuandaa eneo la kuzikia watu hao.
Hii inakuwa ni mara ya pili Mwanagati kupokea makaburi yanayohamishwa ikiwa ni baada ya kupokea makaburi mengine 378 kutoka Vingunguti.
Akizungumzia suala hilo, Mohammed Abdallah ambaye ni moja ya watu waliozika ndugu katika makaburi ya Kipunguni Mashariki amesema wamepokea suala hilo kwa mikono miwili.
Daud Peter ambaye ni Mkazi wa Kipunguni pia amesema anasikitishwa na hatua hiyo lakini ni hatua nzuri.
"Mchakato hatujaukataa tumeupokea kiroho safi,"
Eneo hilo 1995 lilitangaza kufanyiwa tathmini ya kwanza ili wananchi walipwe fidia lakini haikufanikiwa hadi tathmini nyingine ilipofanyika mwaka huu.

Mshana Jr kuna chochote tunaweza kubeba cha kutufaa?
Sawa ila si Kuna fidia hapo?
 
Hivi hakuna eneo kubwa zuri huko mkuranga uwanja mpya ujengwe huko?? Sio siri ukiwa unatua Dar ni kama mnatua juu ya nyumba za watu then ghafla inaanza njia ya ndege kutua.
 
Kuna yale makaburi ya wafu wa ajali na yale makaburi ya waliokufa kwenye ugomvi hasa kuchinjwa
Makaburi ya vifo vya visasi pia au makaburi ya watoto wachanga
Chochote utakachopata toka kwenye makaburi tajwa kinafaa kuwa malighafi kwenye ulimwengu wa giza

BTW wamakinike na hilo zoezi.. Wafu huwa hawapendi usumbufu wala kuingiliwa kwenye makazi yao bila ridhaa
Ni muhimu zifanyike ibada na mambo ya kimila kuwaomba marehemu wahamishwe kwenda sehemu nyingine

Fidia itakayotoka wapewe wahusika bila makato na bila mapunjo.. Pesa ya marehemu ina kisirani na nuksi mbaya sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Naunga mkono hoja 👍👏
 
Kuna yale makaburi ya wafu wa ajali na yale makaburi ya waliokufa kwenye ugomvi hasa kuchinjwa
Makaburi ya vifo vya visasi pia au makaburi ya watoto wachanga
Chochote utakachopata toka kwenye makaburi tajwa kinafaa kuwa malighafi kwenye ulimwengu wa giza

BTW wamakinike na hilo zoezi.. Wafu huwa hawapendi usumbufu wala kuingiliwa kwenye makazi yao bila ridhaa
Ni muhimu zifanyike ibada na mambo ya kimila kuwaomba marehemu wahamishwe kwenda sehemu nyingine

Fidia itakayotoka wapewe wahusika bila makato na bila mapunjo.. Pesa ya marehemu ina kisirani na nuksi mbaya sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna mila na desturi za Wachagga kurundika miili ya wafu wao sehemu moja, kisha huja kuizika baada ya miaka kumi
 
Makaburi zaidi ya 600 yaliyopo Kata ya Kipawa Dar es Salaam yanatarajiwa kuhamishwa ili kupisha upanuzi wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere. Kwa sasa, usajili wa ndugu unaendelea ili kufanikisha shughuli ya kuyahamisha.

Chanzo: azamtvtz

Kwa tuliowahi kuishi Ilala na wale ambao mnaishi hadi leo nadhani mtakuwa ni Mashuhuda wazuri wa Mambo gani yalitokea na yanatokea hadi leo baada ya Zoezi hili la Kikatili kufanyika katika Makaburi ya Karume miaka mingi iliyopita.
 
Back
Top Bottom