Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,232
- 113,610
- Thread starter
- #61
Usikonde lakini tatizo Nyani anabania dada zake sijui kwanini .
Wewe usingekuwa mharibifu ningekuunganishia mmoja...lakini nakujua wewe. Unataka tu umfanyie fujo zako na kumharibu halafu uingie mitini....unajua game recognize gama na playa recognize playa...hahahaha