sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,408
- 19,034
Mchaga ana mambo yake meusi lakini hata yakiwekwa hayo mambo kumi, bado uchawi hauingii kwenye orodha, hata kwa watu tuliowahi kuishi nao Moshi na Arusha tunawajua upande wao mweusi ni utapeli, wizi (hapa wapo hadi majambazi sugu), visasi, ulevi uliopindukia, n.k. lakini maswala ya ushirikina hawa jamaa ni weupe kama mtu alietoka bush kwenda Dar, hata kama watauhitaji ni ule wa kununua maana hata kumkuta sangoma huko kwao ni sawa na kutafuta bikra hodi ya wazazi.
Makabila mengi yenye watu walofanikiwa, maendeleo yao huwa yanaonekana wakiwa mjini ama nje ya wilaya walizotokea, huku mijini watajiachia sana kwenye nyumba nzuri, gari za kifahari, kuishi kitajiri, n.k. lakini breki zote zinafungwa ukiyapima maendeleo yao kulingana na sehemu walizotokea.
Kiukweli wala huwa sio kosa lao kuto endeleza sehemu walizotokea, hii yote huwa ni kwasababu ya hofu ya kupigwa vipapai, mfano kuna sehemu huko makambako nyumba hazina bati, watu wana uwezo wa kuweka bati lakini wanaogopa kuweka bati kwa hofu ya vipapai.
Hali hii huwa inapelekea hata watu wasirudi sehemu zao walizotokea hasa habari zikisambaa kijijini kwamba wametoboa mjini.
Wakinga wanafanya mapinduzi makubwa ya kutisha kwenye biashara kiasi kwamba Kariakoo wao ndio wameikamata lakini wanahofia kurudi kwao kuendeleza kwasababu ya kuogopa vipapai.
Wapo wasukuma migodini, wenye kazi nzuri, n.k. wametokea Geita, shinyanga, Simyu, lakini wanahofia kurudi kwao kupaendeleza kwasababu ya kuogopa vipapai.
Kuna maprofesa wengi sana wametokea Ukerewe lakini wanahofia kurudi kwao kuendeleza kwasababu ya kuogopa vipapai.
Kuna wahaya wengi wameelimika na wana kazi nzuri wametokea bukoba lakini wanahofia kurudi kwao kuendeleza kwasababu ya kuogopa vipapai.
Makabila ya koa wa Mara yamerundikana Jeshini huko wapo wenye vyeo vikubwa lakini wanahofia kurudi kwao kuendeleza kwasababu ya kuogopa vipapai.
HITIMISHO
Ushirikina ni adui wa maendeleo.
Makabila mengi yenye watu walofanikiwa, maendeleo yao huwa yanaonekana wakiwa mjini ama nje ya wilaya walizotokea, huku mijini watajiachia sana kwenye nyumba nzuri, gari za kifahari, kuishi kitajiri, n.k. lakini breki zote zinafungwa ukiyapima maendeleo yao kulingana na sehemu walizotokea.
Kiukweli wala huwa sio kosa lao kuto endeleza sehemu walizotokea, hii yote huwa ni kwasababu ya hofu ya kupigwa vipapai, mfano kuna sehemu huko makambako nyumba hazina bati, watu wana uwezo wa kuweka bati lakini wanaogopa kuweka bati kwa hofu ya vipapai.
Hali hii huwa inapelekea hata watu wasirudi sehemu zao walizotokea hasa habari zikisambaa kijijini kwamba wametoboa mjini.
Wakinga wanafanya mapinduzi makubwa ya kutisha kwenye biashara kiasi kwamba Kariakoo wao ndio wameikamata lakini wanahofia kurudi kwao kuendeleza kwasababu ya kuogopa vipapai.
Wapo wasukuma migodini, wenye kazi nzuri, n.k. wametokea Geita, shinyanga, Simyu, lakini wanahofia kurudi kwao kupaendeleza kwasababu ya kuogopa vipapai.
Kuna maprofesa wengi sana wametokea Ukerewe lakini wanahofia kurudi kwao kuendeleza kwasababu ya kuogopa vipapai.
Kuna wahaya wengi wameelimika na wana kazi nzuri wametokea bukoba lakini wanahofia kurudi kwao kuendeleza kwasababu ya kuogopa vipapai.
Makabila ya koa wa Mara yamerundikana Jeshini huko wapo wenye vyeo vikubwa lakini wanahofia kurudi kwao kuendeleza kwasababu ya kuogopa vipapai.
HITIMISHO
Ushirikina ni adui wa maendeleo.