Sikonge
JF-Expert Member
- Jan 19, 2008
- 11,633
- 6,229
hahaha haya watani wangu! naona mnajinafasi kwa majina yenu PORI. Kuna mtu anaitwa Makang'a hebu watanizzzzzzzz nipeni maana yake
Makanga au Makan'ga ni wingi wa ndege aitwaye Kanga.
hahaha haya watani wangu! naona mnajinafasi kwa majina yenu PORI. Kuna mtu anaitwa Makang'a hebu watanizzzzzzzz nipeni maana yake
Dada nani kakufundisha?,una uelekeo wa kukifahamu kisukuma,mie nilifundishwa mpaka sasa mtu wa usukumani haniteti kabisa!!
FL1 naomba tafsiri ya sentensi hii
ninakupenda nyambizi wangu
Ng'wana makani,Ng'wana Derefa,Ng'wana Ng'wandu,Ng'wana Hollo.ShilungushellaMie napenda jina la Ngw'ana Shishi
FL1 na wewe Nsukuma nini?
teteteteh inawezekana
Nshoma,Nkeya,Minza,Hollo,Nkwaya,Nkwimba
Binafsi majina ya kike wa Wasukuma hunisuuza sana moyo wangu. Ni jina gani la kike la Kisukuma ambalo wewe mwana JF unalipenda? Mimi ninayo kadhaa....
Limi
Misoji
Mihayo
Kabula
Kudahwa
Nsungi
Nana...........
mungule
nyamizi
kwangu
............