Ngw'anashija
Minza
Mirembe
Kashinje
Ngw'alu
Kanogu
Gigwa
Nebaga hange gashi oyo gwanike oyoo jirani na haambateyo....ehee itembee,oza gete nyanya ooho nzwere nying'e sana, shi kobile sana no iromboyee.[upo hapon au moroco kwenye mataa]
Hapo nilipopigia mstari:Naomba unisaidie neno lenye maana hiyohiyo kwa Kiswahili tafadhali.
Mabula ni la kiume na Kabula ni la kike. Kama sikosei, mbula ni mvua. Kwa hiyo Mabula ni Mamvua mengi au mvua kubwa na Kabula ni kamvua kadogo (manyunyu). Ila hapa sina uhakika sana na nitahitaji msaada wa bro B.
hilo sidhani mbona la kiswahili mkuu?
Binafsi majina ya kike wa Wasukuma hunisuuza sana moyo wangu. Ni jina gani la kike la Kisukuma ambalo wewe mwana JF unalipenda? Mimi ninayo kadhaa....
Limi
Misoji
Mihayo
Kabula
Kudahwa
Nsungi
Nana...........
ManyegeNgw'ana mbiti
Ngw'ana ngololo,
Mbiti
Horo
Nyashimo
Manyege
weng sn akna Tabu wapo usukuman na hcho n ksukuma typical