Majina ya kike ya Kisukuma

Majina ya kike ya Kisukuma

Kwa vile Wasukuma tupo kwenye chati....hebu turejee kidogo kutoka maktaba.
 
Bagaile. Dalahile. Nyamiji. Njile. Mbuke. Nyanzala. Butogwa. Sundi. Ng'wipagi. Nkamba.
 
Ngolelwa,Shilolile,Dalahile,Yose,Nyanjige,Sundi,Kabula,Sabuda,Lemi,Milembe,Butogwa,Ng'wipagi,Nyanzala,Beyonce, Rihanna,Ngolo,Bukombe.
 
Binafsi majina ya kike wa Wasukuma hunisuuza sana moyo wangu. Ni jina gani la kike la Kisukuma ambalo wewe mwana JF unalipenda? Mimi ninayo kadhaa....

Limi
Misoji
Mihayo
Kabula
Kudahwa
Nsungi
Nana...........
Mihayo ni jina la kiume!! Kinehe Nkoi habhari ja marekani!!!
 
Kwihaya
Nyabusu
Mbula
Nyamiji
Mabisi
Balatogwa
Nyungi
Bankolwa
Ng'wiza
Bingile
Mpelwa
Bugumba
Mageni
Nyamalwa
Mija
Nkwimba
Matama
Mbalu
Bunani
Solanyhiwa
 
Haya kwangu ni mageni kwa kweli nayo ni ya kisukuma?pls help

Hata mimi kwa majina hayo nadhani jamaa amechomekea....hayo majina (Mwilapwa na mengine aliyoorodhesha) sidhani kuwa/kama ni ya Wasukuma...
 
Back
Top Bottom