Sikonge
JF-Expert Member
- Jan 19, 2008
- 11,633
- 6,229
Mie ndiye Sikonge haswa. Mna Ngulu. Hilo jina si la kubahatisha. Yes wa Sikonge. Mapalala.
Mnyamwez wa sikonge?
Mnyamwez wa sikonge?
Mna Ngulu / Ilolangulu. Wapanga kulugo?Mie ndiye Sikonge haswa. Mna Ngulu. Hilo jina si la kubahatisha. Yes wa Sikonge. Mapalala.
Nilisikia Namtoba, mkoa wa MaraNantomba ni jina la kabila gani
Mna Ngulu / Ilolangulu. Wapanga kulugo?
Mulima dhahabu ya nhobhola (itumbate)?Sikonge siyo Ilolangulu.
Kwivapanga sana Vana Ngulu. Kwi mwilimam
Mkuu Haya nadhani ni yakinyamweziNyanso, Kapemba, Kalunde, Misayo, Kutogwa, Chellu, Mwilwa, Mkola, Mazila na Mwasi.
Ehh, akina Fundikira wanatunza sana majina ya Kilugha. Safi sana
Humu ndani tuna Kichuguu (Kibubunswa) Samahani nilifikiri majina yote...............
Mkuu Haya nadhani ni yakinyamwezi