rmashauri
JF-Expert Member
- Jan 29, 2009
- 3,011
- 462
Matovolwa,Maduhu,Mabele,Magaka,Masunga.....
Haya ni majina ya kiume
Matovolwa,Maduhu,Mabele,Magaka,Masunga.....
Mabula ni la kiume na Kabula ni la kike. Kama sikosei, mbula ni mvua. Kwa hiyo Mabula ni Mamvua mengi au mvua kubwa na Kabula ni kamvua kadogo (manyunyu). Ila hapa sina uhakika sana na nitahitaji msaada wa bro B.
Mabula ni la kiume na Kabula ni la kike. Kama sikosei, mbula ni mvua. Kwa hiyo Mabula ni Mamvua mengi au mvua kubwa na Kabula ni kamvua kadogo (manyunyu). Ila hapa sina uhakika sana na nitahitaji msaada wa bro B.
Guku,
Uko sahihi.
Kabula = Kamvua kadogo (manyunyu)
Mabula = Mvua nyingi
Haya ni majina ya kiume
Ni kweli ghuku,ni majina ya kiume..Niliyaweka hapa kumjibu yule bwana aliyeweka majina ya matusi kwamba ni ya kisukuma,ndo nikamwambia kwamba usukumani atakutana na majina kama hayo(ulikuwa ni muendelezo wa majina niliyoyataja juu kama inavyoonekana hapa chini
Quote:
bht
jina lake tuuu.....na hayo aloandika yapo usukumani!!!!!!
Kaamua kututukana tu huyo,usukumani hatuna majina kama hayo..Bali utakutana na majina kama Magufuli(Makufuli),Milyango,Madirisha,Fungameza n.k
thanks shemejizzzzzz!! sijui ntaweza kusonga ugali mkubwa mkija kwetu???? (don worry in the name of love kila kitu kinawezekana)
Sawasawa wa ng'wa mayu. Nakwelelagwa chiza.
kwahiyo hapo ulimi ukiteleza unamuita wife Nyambizimungule
nyamizi
kwangu
............
kwahiyo hapo ulimi ukiteleza unamuita wife Nyambizi
nene nakutogagwa nyambizi wane
Kumbe Shishi ni jina la Kisukuma, sikujuaMie napenda jina la Ngw'ana Shishi
FL1 naomba tafsiri ya sentensi hiinene nakutogagwa nyambizi wane