dah....watu wabaya sana, nimepotea tu hapa jukwaan miezi michache tayari washaconfirm nimeRIP.
Ifweero ni Ingondu Ramadhani
dah....watu wabaya sana, nimepotea tu hapa jukwaan miezi michache tayari washaconfirm nimeRIP.
Nadhani ni vema kuwaenzi na kuwakumbuka mashujaa wetu waliofariki kama alivyopendekeza PJ kwenye posti moja hivi. Mimi naanza:
1. Juma Kidogo
2. Baruti Mwesiga aka Kandambili
3. Profesa Jwani Mwaikusa
4. Regia Mtema
5.
Hee kumbe nilishaambiwa rest in peace mkuuuu me mzimaaa alhamdulillah nipo Jana juzi na Leo I miss u