Majina halisi ya WanaJF waliofariki

Kuna watu nilikuwa nawakubali sana sijui wamepotelea wapi, pape, masikini jeuri, woman of subsatance?
 
Mleta mada embu tuletee mada ya wanaofwata baada ya hawa kufa tuangalie kama tupo kwenye list yako
 
Nadhani ni vema kuwaenzi na kuwakumbuka mashujaa wetu waliofariki kama alivyopendekeza PJ kwenye posti moja hivi. Mimi naanza:

1. Juma Kidogo
2. Baruti Mwesiga aka Kandambili
3. Profesa Jwani Mwaikusa
4. Regia Mtema
5.

Baruti wa mamlaka ya viwanja vya ndege?
 
Back
Top Bottom