Madihani
JF-Expert Member
- Apr 30, 2015
- 5,973
- 6,606
Sio wewe ni mwingine,huoni post ya mwaka 2015 wewe umejiunga mwaka 2016.Hee kumbe nilishaambiwa rest in peace mkuuuu me mzimaaa alhamdulillah nipo Jana juzi na Leo I miss u
Sio wewe ni mwingine,huoni post ya mwaka 2015 wewe umejiunga mwaka 2016.Hee kumbe nilishaambiwa rest in peace mkuuuu me mzimaaa alhamdulillah nipo Jana juzi na Leo I miss u
Huoni n mamaafacebook the second? Id ya mwanzo nilimuomba invicible aifute account akaimerge na ya suregirl Sasa ikanishinda kuirudia ikabidi nifungue hiiSio wewe ni mwingine,huoni post ya mwaka 2015 wewe umejiunga mwaka 2016.
Nimekuelewa mkuu.Huoni n mamaafacebook the second? Id ya mwanzo nilimuomba invicible aifute account akaimerge na ya suregirl Sasa ikanishinda kuirudia ikabidi nifungue hii
Baruti wa mamlaka ya viwanja vya ndege?
Pamoja sanaNimekuelewa mkuu.
Ifweero na mwenzie Lizaboni walikuwa wananiboa haswa kipindi cha mwaka 2014 , mwishowe nikawaona wapo kazini na nikawazoea.Ifweero ni Ingondu Ramadhani
Ok, alikuwa bado kijana.Yes.....
R.I.P wanajamvi!
Rev masanilo alikuwa na mikwara huyo jamaa..Rev. Masanilo, Fidel80,Jokakuu,GameTheory,WomanOfSubstancece na wakongwe wengine weeeengi walionifanya nikajiunga na Jambo na baadae JamiiForums.
kama mko hai wakuu......michango yenu inakumbukwa
Pakajimmy upo long time brooKuna mmoja alikuwa mfanyakazi wa Itv &RadioOne Arusha, na siku za mapumziko ya Xmass na Mwaka mpya akaamua kuondoka na saloon kwenda Dar akafia maeneo ya Same kwa ajali.
Niliweka thread yake hapa majamvini japokuwa tulishindwa kujua ID yake hapa ndani, na yeye ndiye alimshauri Crashwise kujiunga na JF.
RIP ewe member mwaminifu na Mungu akuangazie nuru.
Kwani umeambiwa kafaRev masanilo alikuwa na mikwara huyo jamaa..
Nimehangaishana nae sanasana.
Kweli duniani tunapita jamani,duh..
Dah.. Uko ufipa au lumumba?Nisiposign in siku nzima hapaJF mjue nime kufa mniombee!
You are right Preta......Tuheshimu ID zao. Hapa ndo sababu mleta mada angesema wale wa "Verfied IDs"..muongeze....kipenzi cha Islam.....
lakini kwa maoni yangu.....kama marehemu hawakupenda kujulikana uhalisia wao....why leo tuwafichue hadharani....? mi naona bora tuwaombee walale kwa amani....coz hata tukiwajua leo ni too late.....huo ni mtazamo wangu.....