Tuyuku
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 3,292
- 1,935
Kigwangallah, mi siyo shabiki wako lakini pia sikumaindi na kila kitu kutokana na mambo yako. Lakini mnyonge mnyongeni haki yake mpeni. Nakupa big up sana kwa kujibu. Wanasiasa wengine wangemyuti upepo upite. Nawashangaa wanaoyapinga maelezo yako. Gazeti limekukashifu. Wewe umejisafisha. Sasa ambaye hakubaliani nawe ana jukumu la kututhibitishia kuwa wewe mwongo. Pia nikupe pongezi. Bila shaka hicho chuo kitatoa fursa ya ajira kwa Watanzania directly na indirectly. Directly ni kwa wale watakaoajiriwa hapo. Indirectly ni kwa wale watakaopata ujuzi hapo na kuajiriwa kwingine.
Watakuita fisadi poa. Lakini bora wewe unayerudisha kwa wananchi kuliko wanaoficha Uswisi.
Lakini jamani sisi Wabongo tunapenda sana kuona wenzetu wakisota. Wakifanikiwa tu ni maneno.
Hamisi, kila la heri. Ila basi kwa kuwa wewe ni kijana jitahidi uwe na mwenendo mzuri kwa jamii. Nyie ndo tunawategemea mshike nchi baadaye. Yaliyopita achana nayo. Kila mtu ana background yake. Wanaokuponda wajibu kwa kuchapa kazi.
Watakuita fisadi poa. Lakini bora wewe unayerudisha kwa wananchi kuliko wanaoficha Uswisi.
Lakini jamani sisi Wabongo tunapenda sana kuona wenzetu wakisota. Wakifanikiwa tu ni maneno.
Hamisi, kila la heri. Ila basi kwa kuwa wewe ni kijana jitahidi uwe na mwenendo mzuri kwa jamii. Nyie ndo tunawategemea mshike nchi baadaye. Yaliyopita achana nayo. Kila mtu ana background yake. Wanaokuponda wajibu kwa kuchapa kazi.