Safari_ni_Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 23,265
- 17,135
Kigwangwalla utakula ngwala siku sio nyingi zijazo!
Huyu Kigwangwalla ni janga...
kwa hili naona umeanza kuonyesha rangi yako halisi...YES this is your truely color!Huwa najiuliza hivi huko bungeni huwa mnakimbilia nini? kumbe mna agenda zenu za nyuma ya pazia mnaanzisha makampuni halafu mnatafuta tiketi za kuingia bungeni ili biashara zenu mziendeshe kwa kutuibia sisi wananchi. Wakati huku wenzenu PAYE inatumaliza na nyie hata hii haiwagusi. Kweli aliyeshiba hamjui mwenye njaa.
Hapo hamna cha kutetea amelikoroga mwenyewe alinywe mwenyewe.
mkuu MBWA WA MANZESE, ni wazi maelezo marefu ni sawa na miruzi mingi, ungelikuwa ukweli ingeandikwa mistari miwili au mitatu na tungeelewa ila haya angeyepeleka mahakamani kujiteteaThe truth is always short and brief, haya maelezo marefu ukiwa na akili timamu unajua mwandishi ni muongo, make it brief and precise otherwise hii ni longolongo. CCM hakuna muadirifu, bandika nyaraka za kodi ulizolipa wakati umeagiza hiyo SUV.
Wewe ni on purpose defaulter kwenye moja ya tasisi za fedha na kama BOT ingekuwa na credit bureau wewe ungekuwa blacklisted kukopa toka tasisi yoyote ya fedha, sijui uadirifu wako uko wapi? huko kwenye udaktari huwezi hata kutunza siri za wagonjwa, nani anaweza kukuamini?
Sikushangaa kupata jibu lako. Tatizo la watu kama wewe hamtofautishi utendaji wa bunge na vyama au serikali na vyama.Mbona issue ya Kinana chama kinamjibia kwa nguvu zote?
Niwape pole wale wote walioguswa na kushughulishwa na jambo hili,
haswa familia yangu, ndugu, marafiki na wananchi wa Nzega;
ambao siku zote wanaamini sana katika uadilifu wangu na namna ninavyosimamia misingi ya haki, sheria na uzalendo.
Sasa kama huna sababu ya kuthibitisha lolote kwa yeyote humu nini kimekufanya uandike mgazeti wote huo na kuuweka humu? Si ungeandika na kubandika huko kwenye litovuti lako la www.hamisikigwangalla.com....
Hii ni dunia ya dot com, usipofanya hayo hapo juu, iwe kibiashara au kisiasa utaishia kuwa wa kutumwa tu!!! nimewaza tu.... hebu waangalie waheshimiwa walioingia bungeni haswa hawa majanki CCM/CHADEMA kwa sasa wote wanaitwa VIGOGO ki mapato na hadhi.. kwa heri...
Mkuu debe tupu haliachi kuvuma, au siju niseme mkono mtupu haulambwi, au fuata nyuki ule asali? anyway kwa kifupi ni kuwa unapokuwa kiongozi baadhi ya watu lazima nao wanatamani kuwa kama wewe au kuchukua nafasi yako, kumbuka kuwa kuna WATU wanamani kuchukua nafasi ya MUNGU pia!! ili iweje? Mungu nae keshasema hapendezwi na wanaotaka nafasi yake na anao wivu mkubwa juu yao wanajifanya nao ni Miungu!!! No more comments!! nimepita...Upo sawa kabisa maana unakuwa upo kwenye chungu kabisa lazima utajipendelea kwenye kujipakulia kama tulivyokuwa shule ukiwa kwenye kitengo cha msosi unakula vinono, haikatazwi ila ni kwa kiasi kila kitu na si mambo hadharani sana, mbona wengine hawalalamikiwi? najua na wao wana vikampuni vyao pia
Kingine MSUKUMO WA JAMII unawafanya wawe hivyo maana kama akishindwa ubunge alafu akawa hana kitu akirudi huku uraiani anachekwa amefulia wakati alikuwa na nafasi nzuri ameshindwa hivyo kuna ambao wanachachalika kwa umakini lakini wangine wanakomba mboga mpaka wanashikwa mkono