Majibu ya Tuhuma Dhidi Yangu!

Majibu ya Tuhuma Dhidi Yangu!

Ingekuwa vema kama angesema hizo 49 % ni za nani badala ya kutuambia zake na za mke wake (40 + 11 %)!!!!!!
 
kama walivyo wengine kwenye chama chao sijui wanawatoa wapi na hapa amesema sio kosa kupata msamahaha wa kodi hivi msamaha anapata mtu yeyote alimradi kaomba msamamaha.Yeye anaangukia wapi ana au anadhani hatujui utaratibu wa kupata misamaha au anaendesha charity organization? anapata msamaha leo na na vifaa vipo ndani havijatumika kwa nini?
 
Back
Top Bottom