Maundumula
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 7,550
- 3,092
Kumbe hisa 22% kwa 78% sasa mheshimiwa unatudanganya wazi wazi?
Ama kweli wananchi wa Nzega wamepata bahati mbaya!
Ama kweli wananchi wa Nzega wamepata bahati mbaya!
Malyenge punguza jazba. Huu uzi umeletwa na huyu Dr. Hamisi Kigwangalla kwa ridhaa yake mwenyewe bila shuruti; so kinachokuuma weye ni nini? Ongea basi kwa facts ili ueleweke.Hivi wewe uliyetoa maelezo yooooooooooooooooooooooooooote haya unajiona kuwa uko sahihi? Na wewe ni miongoni mwa ma-great thinkers???? Mbona maelezo yako nawewe ni stori tu..............Hakuna facts zinazoonesha tatizo. Kwani kama mtu ameomba msamaha wa kodi na akapewa tatizo ni nini? Tatizo sheria ama aliyepewa msamaha ama au aliyetoa msamaha??? Au Mh Kigwangalla ALIHONGA mpaka akapata msamaha????? Kama aliyehonga mnamlaumu na je aliyehongwa????? Au kwa kuwa aliyehongwa ni "jamaa yenu???" Mimi naona Jamii forum imekuwa ni kichaka cha ushabiki wa CHADEMA....Au ni mahala watu wanachafua majina ya watu ili wakagombee ubunge eneo linaloshikiliwa na CCM. Yes, hizi ni kampeni lakini mimi naziita ni kampeni chafu!!!!!!!!!!!!!!!
Nchi yetu Bana msamaha hata NISSAN NAVARA?hii ni gari starehe sii yakazi.gari za kazi landrover 110,landcruiser hardtops
Malyenge punguza jazba. Huu uzi umeletwa na huyu Dr. Hamisi Kigwangalla kwa ridhaa yake mwenyewe bila shuruti; so kinachokuuma weye ni nini? Ongea basi kwa facts ili ueleweke.
Nenda Nzega Mkuu, ndani ya Hospitali ya Wilaya ya Nzega kaone mauza uza yake anayoyaita chuo cha afya Nzega! Mwizi/fisadi ni fisadi hakuna afadhali, kama na wewe ni mmoja wao basi hongera!!
mi naomba anishauri jinsi ya kujenga 'NYUMBA YA KUISHI NZEGA TABORA NA DAR ES SALAAM' niache kumuonea husda wivu na kijicho.
...ina sound kama kirundi ingawa sina uhakika ni cha wapi
Sioni cha maana zaidi ya historia ya yale uliyowahi kutuhumiwa na magazeti. Kwa kuwa unapakaziwa hebu jisafishe kwa kuwapeleka mahakamani hao wanaokuchafulia jina lako vinginevyo wewe ni fisadi kama wengine
Sikuja kujisafisha hapa wala silazimiki kufanya hivyo. Niliamua kutoa tu maelezo ya upande wangu wa hadithi, na ninaamini wenye akili na uelewa mpana wameelewa, na nilijua baada ya kutoa maelezo ya hoja alizoandika mwandishi na kuacha maswali mengi wengi wataelewa, kama walivyotanabahisha hivyo kwa kuniandikia sms, emails na kunipigia simu. Kama unataka mjadala uliza swali na nitakujibu tu...Hana ubavu wa kwenda mahakamani angekuwa nao angeshafanya hivyo, si unaona hata hapa jamvini hajarudi tena, chezeya JF weye!!! Ukitaka kuja kujisafisha hapa jamvini basi uwe na nondo kali vinginevyo utazidi kujipaka na hivyo kuonekana mchafu zaidi.
Wewe ndio lijinga kabisa,mpuuz mkubwa hujui chochote,umeniudhi kweli maana umeonyesha utupu uliopitiliza,jinga sana wewe,kukusaidia tu,aliyehitimu shahada ya kwanza ya utabibu wa mifugo au binadamu initial name yake ni dr,alafu then any phd order,ni dr.Kigwangala is a medical doctor,graduated from Muhas 2005.Usisahau na upumbavuni kwetu,mjanja mjanja yeyote anaweza akajipachika udokta au uprof.
Sikuja kujisafisha hapa wala silazimiki kufanya hivyo. Niliamua kutoa tu maelezo ya upande wangu wa hadithi, na ninaamini wenye akili na uelewa mpana wameelewa, na nilijua baada ya kutoa maelezo ya hoja alizoandika mwandishi na kuacha maswali mengi wengi wataelewa, kama walivyotanabahisha hivyo kwa kuniandikia sms, emails na kunipigia simu. Kama unataka mjadala uliza swali na nitakujibu tu...
Sikuja kujisafisha hapa wala silazimiki kufanya hivyo. Niliamua kutoa tu maelezo ya upande wangu wa hadithi, na ninaamini wenye akili na uelewa mpana wameelewa, na nilijua baada ya kutoa maelezo ya hoja alizoandika mwandishi na kuacha maswali mengi wengi wataelewa, kama walivyotanabahisha hivyo kwa kuniandikia sms, emails na kunipigia simu. Kama unataka mjadala uliza swali na nitakujibu tu...
Sikuja kujisafisha hapa wala silazimiki kufanya hivyo. Niliamua kutoa tu maelezo ya upande wangu wa hadithi, na ninaamini wenye akili na uelewa mpana wameelewa, na nilijua baada ya kutoa maelezo ya hoja alizoandika mwandishi na kuacha maswali mengi wengi wataelewa, kama walivyotanabahisha hivyo kwa kuniandikia sms, emails na kunipigia simu. Kama unataka mjadala uliza swali na nitakujibu tu...
haya leo katika mkutano wa ALAT arusha Waziri Mkuu amekataza watendaji wa Halmashauri yaani madiwani,meya,wenyeviti wa halmashauri kufanya kazi za tenda kupitia kampuni zao maana kama wewe ndiye muangalizi wa value for money, jee ni nani atakaye ku evaluate?na wewe ni diwani unasemaje juu ya hilo?Sikuja kujisafisha hapa wala silazimiki kufanya hivyo. Niliamua kutoa tu maelezo ya upande wangu wa hadithi, na ninaamini wenye akili na uelewa mpana wameelewa, na nilijua baada ya kutoa maelezo ya hoja alizoandika mwandishi na kuacha maswali mengi wengi wataelewa, kama walivyotanabahisha hivyo kwa kuniandikia sms, emails na kunipigia simu. Kama unataka mjadala uliza swali na nitakujibu tu...