Majanga yanayoikumba Dunia, chanzo adhabu Toka Kwa Mungu, tugeuke na kutubu

Mungu hana ata time na mazambi yenu anajuwa atawadakia wapi haya majanga ni dunia kujiweka sawa tu ko kama upo sehem yenye kupitia mabadilko lazima ulambwe
 
Watoto wachanga, wataubebaje msalaba wao ikiwa tusiposimama kuombea familia, Taifa na Ulimwengu?
Watoto wachanga na wengine wasio na hatia Mungu anawajua,,,,,labda uwaonye hao wa kuelekea 2025 huko kwa wataalam wao wanapoenda kutoa makafala na wale wa December na January ajali kuzidi barabarani hao ndo wabadilike kiama ni chao
 
Acha ujinga wa kilokole hakuna pahali Mungu kwenye Agano jipya analeta majanga huo ni upotoshaji mkubwa wa Babaako Ibilisi,
God Is Love,
Mungu kwenye Agano hili anajitambulisha kama Mungu wa upendo na zaidi ya yote hawahesabii watu maovu yao bali ametoa Neema kupitia Bwana Yesu Kristo kila amwaminiye asipotee,
Now tupo kipindi ambacho just a single soul ndio inaokolewa au inaangamia ni chaguo lako as a single person na
Sio majority of People,
Mungu wa upendo hawezi angamiza watu kwa majanga wakati anataka kila nafsi iokoke hayo ni mafundisho ya kishetani na Sio Ukristo
Kwahiyo nasemaje wewe
Rabbon Get The FvC Out Of Here (GTFOH)
 
Acha ujinga wa kilokole hakuna pahali Mungu kwenye Agano jipya analeta majanga huo ni upotoshaji mkubwa wa Babaako Ibilisi,
God Is Love,
Mungu kwenye Agano hili anajitambulisha kama Mungu wa upendo na zaidi ya yote hawahesabii watu maovu yao bali ametoa Neema kupitia Bwana Yesu Kristo kila amwaminiye asipotee,
Now tupo kipindi ambacho just a single soul ndio inaokolewa au inaangamia ni chaguo lako as a single person na
Sio majority of People,
Mungu wa upendo hawezi angamiza watu kwa majanga wakati anataka kila nafsi iokoke hayo ni mafundisho ya kishetani na Sio Ukristo
Kwahiyo nasemaje wewe
Rabbon Get The FvC Out Of Here (GTFOH)
Soma Mathayo 24 yote, hayo yameongelewa,

Pia soma kitabu Cha ufunuo wa Yohana yote hayo yameongellewa.
 
Ni vile tu watu wavivu wa kusoma Historia au wanajisahaulisha tu

Dunia tunayoishi sasa ni dunia bora na salama kabisa ukilinganisha na dunia za enzi hizo
Hi nawashangaa sana hasa watu hivi wajua ubabe wa Dunia ya kale?
Yaani hawa wangeishi enzi za kina Mfalme Girgamesh, Alexander the great au Roman empire walokole wangesema Yesu atarudi saa sita baadae!
 
Ni vile tu watu wavivu wa kusoma Historia au wanajisahaulisha tu

Dunia tunayoishi sasa ni dunia bora na salama kabisa ukilinganisha na dunia za enzi hizo
Ungekuwa pale goma, bukavu au Gaza, sudani,usingesema Dunia ni salama,
 
Soma Mathayo 24 yote, hayo yameongelewa,

Pia soma kitabu Cha ufunuo wa Yohana yote hayo yameongellewa.
Hayo yote aliyoyasema Yesu yalishatimia kijana aliwaambia hayana budi kutimia na hao wanafunzi wake watayashuhudia
Na hayo yalitimia yote Mwaka 70 AD tu baada ya jeshi la Warumi ku siege Jerusalem na kuuangamiza na Israelites kutawanywa,

Elewa content ya huo unabii uliwahusu Israelites na Sio mataifa!
 
Hayo yote aliyoyasema Yesu yalishatimia kijana aliwaambia hayana budi kutimia na hao wanafunzi wake watayashuhudia
Na hayo yalitimia yote Mwaka 70 AD tu baada ya jeshi la Warumi ku siege Jerusalem na kuuangamiza na Israelites kutawanywa,

Elewa content ya huo unabii uliwahusu Israelites na Sio mataifa!
Kumbe na Ulimwengu ulioandikwa utachomwa moto, ni hapo Israel pekee?
 
Soma Mathayo 24 yote, hayo yameongelewa,

Pia soma kitabu Cha ufunuo wa Yohana yote hayo yameongellewa.
Ufunuo wa Yohana ulikua unafunua ufalme wa Mungu,
Enzi na mamlaka aliyopewa Bwana Yesu kiufupi huo ni unabii timilifu Sio unabii unaongojewa,
Watu wengi mnadhani ule ni unabii utakaokuja ila ule unabii ulianza timizwa pale Bwana Yesu Kristo anakufa msalabani anafufuka na kupewa mamlaka,
Ule ni unabii timilifu kama ulivyo wa Daniel kila kitu kilimalizika zamani sana now tupo kwenye maisha ya wakati,
We live life through Lord Jesus na ndio maana amani ya ufalme wake inaongezeka ukilinganisha na zamani za utawala wa Giza,
Maandiko yanasema kadri ufalme wa Mungu unavyoongezeka na amani ya Kristo inaongezeka
Hiyo inatokea natural tu
Hivi huoni now watu wa mataifa yote wana amani na Mungu?
Hivi huoni kwamba now watu wanamtafuta Mungu hata kwa kupapasa ukilinganisha na zamani za giza?
 
Kumbe na Ulimwengu ulioandikwa utachomwa moto, ni hapo Israel pekee?
Hakuna Ulimwengu utachomwa moto wewe ila mwovu ataondolewa na watakatifu wataulithi milele,
Hii Dunia ipo milele yote haitaangamizwa kama ulikua hujui hata Mungu mwenyewe atakuja kuishi hapa through Jesus Christ yaani ufalme wa Mungu utahamia hapa na mbingu zitafumuliwa au husomi Maandiko wewe?
'Mbingu ni mbingu za Bwana na Dunia amewapa wanadamu' hilo andiko unalielewa kweli ndugu mtumishi?
 
Back
Top Bottom