Mzee wa Twitter
JF-Expert Member
- Nov 5, 2023
- 1,272
- 2,031
Nimeshangazwa na mkuu wa usalama barabarani akitangaza vita dhidi ya walioweka vimulimuli honi na mataa yenye mwanga mkali.
Binafsi madhara ya vimulimuli honi na mataa yenye mwanga mkali siyaoni kama ni makubwa bali ni madogo sana tofauti na madhara yafanywayo na bodaboda.
Bodaboda wamekuwa kero kubwa kwa maisha ya binadamu kwani bodaboda wamekuwa wanashiriki au kutumika kwenye matukio mengi ya uhalifu ukiwepo wizi, mauaji na kadhalika.
Bodaboda wamekuwa chanzo kikubwa cha ajali nyingi za barabarani na kupelekea vifo na ulemavu wa kudumu.
Bodaboda wamekuwa watu wa kujichukilia sheria mikononi na kuharibu mali za watu kwa mfano hivi majuzi tumeshuhudia wakilichoma moto bus bila kujali chanzo cha ajali ni bodaboda mwenzao au bus.
Katika kikao cha bunge lililopita naibu spika ambaye ni mbunge wa ilala mh.Zungu aliwalaani sana bodaboda na kuwaita bodaboda ni kero kubwa sana"
Pia mh lema aliwahi kusema kazi ya bodaboda ni kazi la laana waliomwelewa kama sisi tunaungana nae kwani matukio ya bodaboda yanatisha sana. Hebu amua tembea pale muhimbili kitengo cha moi kaangalia wagonjwa wa ajali za bodaboda unaweza kuapa kuwa hutapanda tena bodaboda.
Niliombe jeshi la polisi kitengo cha usalama barabara wajikite kipambana na hawa bodaboda wamekuwa vinara wa makosa ya usalama barabarani bodaboda wamekuwa wanapita licha ya taa za kuongoza kuwazuia.
Shame Jeshi la Polisi bodaboda hawawezi kuwa juu ya sheria za nchi.
Binafsi madhara ya vimulimuli honi na mataa yenye mwanga mkali siyaoni kama ni makubwa bali ni madogo sana tofauti na madhara yafanywayo na bodaboda.
Bodaboda wamekuwa kero kubwa kwa maisha ya binadamu kwani bodaboda wamekuwa wanashiriki au kutumika kwenye matukio mengi ya uhalifu ukiwepo wizi, mauaji na kadhalika.
Bodaboda wamekuwa chanzo kikubwa cha ajali nyingi za barabarani na kupelekea vifo na ulemavu wa kudumu.
Bodaboda wamekuwa watu wa kujichukilia sheria mikononi na kuharibu mali za watu kwa mfano hivi majuzi tumeshuhudia wakilichoma moto bus bila kujali chanzo cha ajali ni bodaboda mwenzao au bus.
Katika kikao cha bunge lililopita naibu spika ambaye ni mbunge wa ilala mh.Zungu aliwalaani sana bodaboda na kuwaita bodaboda ni kero kubwa sana"
Pia mh lema aliwahi kusema kazi ya bodaboda ni kazi la laana waliomwelewa kama sisi tunaungana nae kwani matukio ya bodaboda yanatisha sana. Hebu amua tembea pale muhimbili kitengo cha moi kaangalia wagonjwa wa ajali za bodaboda unaweza kuapa kuwa hutapanda tena bodaboda.
Niliombe jeshi la polisi kitengo cha usalama barabara wajikite kipambana na hawa bodaboda wamekuwa vinara wa makosa ya usalama barabarani bodaboda wamekuwa wanapita licha ya taa za kuongoza kuwazuia.
Shame Jeshi la Polisi bodaboda hawawezi kuwa juu ya sheria za nchi.