Patience123
JF-Expert Member
- Mar 10, 2013
- 5,092
- 8,786
Kwa usawa huu wa maisha hao ma sponsor watakata soon...yaani nawaheshimu sana masponsor hapa mjini
hata naogopa kuolewa
Kwa usawa huu wa maisha hao ma sponsor watakata soon...yaani nawaheshimu sana masponsor hapa mjini
hata naogopa kuolewa
Hivi si niolewe tu?? mbona maisha magumu kiasi hiki????? Atlist mume akiwepo mtu huumizi sana kichwa wee ni kutoa zako taarifa tu aisee mboga hamna aisee Unga umeisha mchele umeisha baaaaasssi!!! Sasa sisi tunaojifanya vichwa ngumu kuolewa ndo tunakoma sasa.
Kama saivi gesi imekata ghafla mkaa sina Unga umeisha mchele umeisha mafuta yameisha inshort vitu vingi vimeisha kwa pamoja luku iko mbioni kukata yani ni majanga tupu.
Hapo bado sijasuka kichwa nacho kinahitaji mweh.
Maisha ya usingo usawa huu sio kabisa.
Inbidi ujitahiti sponsor mmoja akuoe.....la sivyo hawa bachela I au II watakupa headacheyaani nawaheshimu sana masponsor hapa mjini
hata naogopa kuolewa
sponsor anaoa?Inbidi ujitahiti sponsor mmoja akuoe.....la sivyo hawa bachela I au II watakupa headache
Inabidi utumie ushawishi mtoto wa kike hadi akubali yaishe... ( ila ujue mpaka sponsor akubali kuoa kazi yake sio ndogo...utatoka hadi jasho la meno na masikio)sponsor anaoa?
mahondaw ,maisha ya ndoa hayana formula..Hivi si niolewe tu?? mbona maisha magumu kiasi hiki????? Atlist mume akiwepo mtu huumizi sana kichwa wee ni kutoa zako taarifa tu aisee mboga hamna aisee Unga umeisha mchele umeisha baaaaasssi!!!
acha tu anifadhiliInabidi utumie ushawishi mtoto wa kike hadi akubali yaishe... ( ila ujue mpaka sponsor akubali kuoa kazi yake sio ndogo...utatoka hadi jasho la meno na masikio)
Pale kati au wapi?Mhmh hapo kwenye kuja kuchukua hapooo patamu hapooo!
Oukei akhsante usijali kama ninayo nimeacha kwa afya na ustawi wa maisha yangu halelluuuuyaaa!
Hivi si niolewe tu? Mbona maisha magumu kiasi hiki? Atlist mume akiwepo mtu huumizi sana kichwa we ni kutoa zako taarifa tu aisee mboga hamna aisee unga umeisha mchele umeisha basi.
Sasa sisi tunaojifanya vichwa ngumu kuolewa ndo tunakoma sasa. Kama saivi gesi imekata ghafla mkaa sina unga umeisha mchele umeisha mafuta yameisha inshort vitu vingi vimeisha kwa pamoja luku iko mbioni kukata yani ni majanga tupu. Hapo bado sijasuka kichwa nacho kinahitaji mweh!.
Maisha ya usingo usawa huu sio kabisa.
yaani nawaheshimu sana masponsor hapa mjini
hata naogopa kuolewa
Be it kiurahisi au kiugumu, that fact is NAO YA KUISHIWA YANAWAKUTA.....
Na ukijiozesha kwa maana ya kukimbia kuishiwa, basi utabadilisha sana wanaume...
Maana at least once in six months or a year, kila mmoja ajapitia kuishiwa in a way..!!
Vip umekubaliHeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!!!!!!! Yooooh!