Maisha ya ubachela

Maisha ya ubachela

Hapana sina tabia hiyo jamani maneno tu hayo. Katika uhalisia ni tofauti kabisaa

Waswahili wanasema "Lisemwalo lipo, na kama halipo basi ujue linakuja". Lakini pia waswahili wanasema, "Ukweli wa mtu upo moyoni mwa mtu." Wewe ndiye unayefahamu kama hii ndio tabia yako au la. Hivyo kama ni tabia yako, nakushauri tu achana nayo kwa kuwa haitakusaidia katika maisha yako.
 
Hahaaaaaa ukiweza kucheza na akili ya mume ndoa inakuwaga tamu sana. Coz asilimia kubwa ya wanaume wanapenda sana kutiiwa, na mwanamke akishakuwa mnyenyekevu anaweza kuchomolewa chochote anachotaka ikiwa ni pamoja na kupata amani moyoni hii ndio siri. Lakini ukionesha makucha na kujiona sasa Wewe pia ni kamwanaume kengine hapo kila kitu huvurugika na mwisho utaachia madaraka mwenyewe

Umeona eeeeeeeeeeh! Wanaume ni wa kuishi nao kiakili Sana Halafu kinachonichekesha kwa wanaume unaeza kuta mtu mbabeeee nanini nanini lakini mbele ya mwanamke anakua mdogooooo khakha!
 
Waswahili wanasema "Lisemwalo lipo, na kama halipo basi ujue linakuja". Lakini pia waswahili wanasema, "Ukweli wa mtu upo moyoni mwa mtu." Wewe ndiye unayefahamu kama hii ndio tabia yako au la. Hivyo kama ni tabia yako, nakushauri tu achana nayo kwa kuwa haitakusaidia katika maisha yako.

Oukei akhsante usijali kama ninayo nimeacha kwa afya na ustawi wa maisha yangu halelluuuuyaaa!
 
Back
Top Bottom