Tatizo nn usiolewe una kasoro gan, Ila pia isiamini mwanaume eti ndo solution ya Maish yako, jitume je Suki akifulia huyo mwanaume si utamkimbia? Na utakimbia wangapi?????
dah jipange Dada yangu vizur gharama. nandoa niheshima so kama vip fanya mpango uoleweNi juu yangu mimi kukubali tu nakujipanga kufanya process kwani inahitaji pesaaaaaaa na maandalizi ya vikao n.k
Ndiyo.umetuachia hewani.Ule wa baba p??
Ila siyo vizuri kukaa muda mrefu ukiwa Bachela maana utazoea kujiamulia so ukiolewa hutataka mumeo akupangieMi Mwenyewe tu ndo nazingua kama kuolewa ningeolewa pindi tu nilipomaliza six apart from that wachumba kibao nawakataa mimi mwenyewe
Hahaha ha, umeona maisha ya ndoa yalivyo? Mama P anatamani kutoka wewe unatamani kuingia.Sawa nimekuelewa Patience a.k. a mume ya mama P
Sina tigo
swali zuri sanaKwa hiyo Ndoa ndio umeiona ni mahali rahisi pakupunguzia makali ya maisha?